johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,117
CHADEMA watakapokuwa wanatueleza yaliyomo kwenye Maridhiano wasisahau kutueleza na Bajeti ya Vikao ilikuwa bei gani na kama Wajumbe wao walilipwa Posho.
Bado hatujasahau UKAWA walivyokuwa Posho zote za Bunge la Katiba na kisha kutokomea kusikojulikana.
Jumaa Mubarak 😄
Bado hatujasahau UKAWA walivyokuwa Posho zote za Bunge la Katiba na kisha kutokomea kusikojulikana.
Jumaa Mubarak 😄