Mdau35
Senior Member
- Apr 11, 2012
- 126
- 17
Wakati Cuf ilipokuwa imevuma sana na kuwa na wafuasi wengi ilichafuliwa na kutangazwa kuwa ni chama cha waislam, na wakristo wakapandikizwa chuki dhidi ya CUF, na sasa wakati huu CHADEMA imepata nguvu na kuwa na wafuasi wengi, imejengewa chuki kuwa ni chama cha wakatoliki(wakristo) Je watanzania tumekuwa mbumbu kiasi cha kushindwa kuutambua fitina hizi?