barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,324
- 29,586
Mkuu, siku hizi akili unaweza kuazima, kwa nini usifanye hivyo??Aliyekuambia bajeti inasimamiwa na vyama ni nani?
Bajeti hujadiliwa bungeni na vyama vyote!!
Mkuu, siku hizi akili unaweza kuazima, kwa nini usifanye hivyo??Aliyekuambia bajeti inasimamiwa na vyama ni nani?
Huu ushauri peleka kwa wanafiki huko Uvccm
umepotea nini?Dawa za asiliza nguvu za kiume kwa sh 15000..dawa ni za mitishamba zinatibu kuwahi kupiz
.uchovu wa kushindwa kurudia raundi nyingi..uume legelege..uhanithi..nitafute kupitia https://jamii.app/JFUserGuide..wale wa mikoan mtatumiwa kwa njia ya basi
Ha ha ha ha haya mwana UKUTA. Lakini nakuhakikishia kuwa Law and Order lazima vichukue mkondo wakeWewe uwezo wako kufikiri ni mdogo sana ndo hujaelewa kilichosemwa na viongozi wa CHADEMA
'MATAMKO' TIME!Duh operesheni UKUTA tena...!!!
Nduguzenu muwakumbushe kuhudhuria hiyo mikutano, mnatafuna ruzuku halafu mnawatumia wanywa viroba kama mtaji...muda sio rafiki. MjipangeTutaupinga udikteta uchwara popote pale
Mkishatoka oparesheni UKUTA anzisheni oparesheni UKUDA maana nyie ni wakuda balaa hamjielewagi sijui nani aliwaroga, itabidi nimuite mshenga awaaombee
Eti vinasema mahakama inaingiliwa tena vinasema wanasheria wao waangalie mambo ya kisheria hivi hayo mambo ya kisheria vitayapeleka chooni sijui, hii ni paradox
Haya kajenge UKUTA . Mtatukuta East zooTutaupinga udikteta uchwara popote pale
Hahahaaa kwa kua hujafikwa basi una haki ya kuendelea na hayo maruhaniYaani siku hizo nne ( 4 ) ndizo walikuwa wanajadili tu hiyo UKUTA yao? Halafu bado utaniambia kuwa hicho ni Chama cha Siasa na kuwa kuna upinzani Tanzania?
Wasituendeshe hawa jamaa; cku zote wakishakunywa nnihii zao wanaenda mbeya, ntwara, mwanza, wakome. wapeleke moshi mjini kama wakajenge kuta zao huko.
Wakati mhishimiwa mstaafu anatafu udhamini akiwa kwenye basi la matumaini, wananchi waliambiwa hana haki ya kutembea barabarani alipashwa awe segerea. Leo wameshikana nae, huu ni kutupuuza watanzania. Fisadi, Fisadi, Fisadi, leo mjumbe wa kamati kuu, mkutaano maalum, UKUTA
hata aibu hawana,