CHADEMA Washinda kesi mahakamani

NGOWILE

JF-Expert Member
Sep 8, 2011
454
258
Viongozi wa CHADEMA mkoa wa Dodoma waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kufanya mkutano pasipokuwa na kibali cha polisi leo wameachiliwa huru na mahakama ya mkoa wa Dodoma.

Hii imetokana na upande wa mashtaka (Jamhuri) kushindwa kutoa ushahidi wa kujitosheleza kuwatia watuhumiwa hatiani.

Nafuatilia nakala ya hukumu nitawawekea muda sio mrefu.
 
kilichobaki ni kuendelea kubomoa ngome kuu za MAGAMBA. :lock1:
pongezi kwa makamanda, japo najua MAGAMBA hawajafurahishwa na hii hukumu hiyo.:israel:
 
Lengo la jamhuri lilikuwa ni la muda mfupi nalo lilitimia siku ile, nyuma ya jamhuri alikuwepo ccm!
 
Hiyo inaonyesha jinsi serikali ya hovyo na kesi za ndoto, ahyo yote ni matumizi mabaya ya mali za umma kwani hawana wema na nchi hii.
 
Nilisema tangu jana kuwa hapo hakuna kesi. Nadhani lengo lao lilikuwa ni kuwaletea usumbufu viongozi wa cdm. Mapambano na m4c yanawapa kiwewe magamba ndio maana wanatapatapa! Hatahivyo naipongeza mahakama ya ddm kwa kuifanya kazi yao vema. Nadhani sasa polisi wataeleweshwa kwamba kazi yao ni kupokea taarifa na kujipanga kutoa ulinzi na sio kutoa vibali kwa mikutano!
 
Viongozi wa CHADEMA mkoa wa Dodoma waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kufanya mkutano pasipokuwa na kibali cha polisi leo wameachiliwa huru na mahakama ya mkoa wa Dodoma.

Hii imetokana na upande wa mashtaka (Jamhuri) kushindwa kutoa ushahidi wa kujitosheleza kuwatia watuhumiwa hatiani.

Nafuatilia nakala ya hukumu nitawawekea muda sio mrefu.

Hawa watu huenda huwa wanasoma humu kabla ya kufanya maamuzi yao. Jana nilisema kuwa kesi kama hizi zinawapatia upper hand washitakiwa kwani wakifungwa inakuwa ni kifungo cha kisiasa na kuwapatia international organisation sababu za ku-monitor ufanyaji kazi wa vyombo vyetu, pia wakishinda kwa mahakama kusema ni haki yao inawaondolea polisi nafasi waliyojipachika ya kuwa waratibu wa shughuli za vyama vya siasa. Nikasema njia pekee kusema haijathibitishwa ili Polisi waendelee kutishia vyama. Soma hapa chini zaidi,

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...mahakama-kuu-kanda-ya-dodoma.html#post3957451
 
tatizo magamba hawajui kwa kufanya ivyo ndo wanaipaisha CDM wao wanazani wanaididimiza kumbe vice versa:happy:
 
Kazi hii inayofanywa na chama changu, ikiendelea kupanda bila kurudi nyuma hadi 2015, nina hakika tutashinda!
 
Back
Top Bottom