CHADEMA Washinda kesi mahakamani

Hatimaye haki imeshinda dhidi ya dhuluma!

Mungu ibariki CHADEMA
Mungu ibariki Tanzania
 
Mungu mkubwa,imedhihirika ya kwamba Mungu hajalala.
Pamoja tutashinda
Peopleees Power!
Tuiunge mkono M4C
 
ha ha ha nacheka kwa furaha kuku nikikanyaga kadi za magamba hapa

Bado una kadi za magamba? Unazifanyia nini? Au unafanya kazi ktk jumba la makumbusho? maana huko ndo zinastahili ziwepo kwa kumbukumbu tu kama tulivyo na picha za wakoloni.
 
I knew it you know many cases are opened for the sake of creating fear among freedom/rights fighters. Thanks Lord this is done let us wait for others.
 
Viongozi wa CHADEMA mkoa wa Dodoma waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kufanya mkutano pasipokuwa na kibali cha polisi leo wameachiliwa huru na mahakama ya mkoa wa Dodoma.

Hii imetokana na upande wa mashtaka (Jamhuri) kushindwa kutoa ushahidi wa kujitosheleza kuwatia watuhumiwa hatiani.

Nafuatilia nakala ya hukumu nitawawekea muda sio mrefu.

Mtoa mada tujuze ni nani atalipia garama za kesi na fedha hizo zitatoka wapi?

Mytake: sisiwe kodi za walala hoi.
 
Mtoa mada tujuze ni nani atalipia garama za kesi na fedha hizo zitatoka wapi?

Mytake: sisiwe kodi za walala hoi.


Japo mie si mtoa mada, ninafahamu kuwa hizi kesi za jinai hakuna anayemlipia mwenzake gharama za kesi. Jamhuri inaweza kulipishwa (kodi za walalataaban) kama walioshinda kesi ya jinai watafungua na kushinda kesi ya madai. Lingekuwa jambo jema sana na kwa kweli ninahimiza na kushauri kuwa kila waliposhitakiwa CHADEMA na kushinda wafungue kesi za madai ili walipwe fidia na hatimaye kukomesha tabia hii chafu ya serikali kuwafungulia kesi zisizo na kichwa wala miguu. Japo fedha ni za walalahoi tena kesi za madai huchukua muda mrefu lakini itakuwa fundisho, na walalahoi wenyewe watautambua uzembe na mchezo mchafu na hatari wa serikali hii. Tabia ya kubambikiza watu kesi imekithiri na ni muda muafaka sasa kuikomesha.
"KUNA NJAMA ZA KUHUJUMU NA KUDHULUMU UTU NA UCHUMI WA MAKAMANDA DAIMA DUMU. NJAMA HIZI SI NDOGO NI KUBWA NA ZINATEKELEZWA USIKU NA MCHANA NA MAGAMBA DUNIA NZIMA. UDHALIMU WA MAGAMBA HAYA KATU HAUWEZI KUFANIKIWA BILA YA KUWATUMIA LIMBUKENI WACHACHE POLICCM, WANASHERIA, MAHAKIMU NA MAJAJI WENYE TAMAA ZA UKUBWA NA UROHO WA UTAJIRI WA HARAKAHARAKA. LIMBUKENI HAWA NI LAZIMA TUWAKOMESHE!"
 
Back
Top Bottom