Siwema2012
Member
- Feb 14, 2018
- 66
- 62
Watafute mwenyekiti mwingine chadema labda nidhamu itarudi kwwnye chama lakini mlevi huyo sijui ni nani atampa kura ya kuwa raisi...ni heri ya magufuli wetu kuliko huyo.Hatimae kipigo kimeendelezwa konondoni naamini kinafuatia kingine siha kuna haja CHADEMA mjitathimin aina ya siasa zenu yawezekana kuna kitu wapiga Kura hawa bado hawawaelewi au bado mna siasa za mwaka 47
CHADEMA ya SLAA sio ya sasa hii ya sasa nadhani NI mpya inayo elekea shimoni
CCM inapendwa kwa sera sio mtu