- Thread starter
- #41
Ni nani aliewalogeni enyi wagalatia wajinga?
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Ni bora kuishi kwenye pembe ya dari kuliko kuishabikia CCM.
Ni kweli mkuu........
Ni nani aliewalogeni enyi wagalatia wajinga?
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Ni bora kuishi kwenye pembe ya dari kuliko kuishabikia CCM.
Tanzania Daima ni 'TBC' ya Chadema!
Alichosema ndio ukweli,ila aangalie yule mwanae Livingstone ambaye hakumlea kwa maadili mema asije mshushia mitusi kama kawaida yake akaishia kumlaani akatembea uchi bure Mheshimiwa wa Mtera.
Je, hii ndiyo mbinu pekee iliyobaki baada ya ile ya kuchonganishi na kugombanisha viongozi kushtukiwa ?Cdm muache udini na ukaskazini
Cdm muache udini na ukaskazini
Ni ndugu hawa watu but tofauti ipo kwenye akili, uwezo wa kufikili na elimu. lusinde mbunge ni darasa la pili wakati balozi ni msomi!Huyu ana uhusiano gani na huyu jamaa (Kilaza)?
Tanzania Daima ni 'TBC' ya Chadema!
ccm hawawezi pata 30% kama uchaguzi huru na wa haki Ukiitishwa siku yoyote kati ya sasa na 2015. FACT.Huo ndio ukweli ulio wazi, hakuna cha kuficha wala kuongeza chumvi.
ina maana ndani ya ccm hawalijui hili?
Cdm muache udini na ukaskazini