Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,200
- 27,255
Wengi tunakumbuka wiki kadhaa nyuma ilikuja taarifa kuwa chadema wamepata ofisi mpya Mikocheni. Sijui wamekodi au wamenunu, hilo hatujui maana haikuwekwa wazi.
Swali langu, ni lini Wanahamia hizi ofisi mpya? Maana naona muda unaenda sana hatuoni wakihamia huko.
Mwenye kujua naomba atujuze, maana hii kitu binafsi siamini kwa kuwa nawajua vizuri wao huwa hawapendi vitu vizuri.
Nataka nione maajabu kutoka kinondoni manyanya hadi Mikocheni. Mwenye kujua please
Swali langu, ni lini Wanahamia hizi ofisi mpya? Maana naona muda unaenda sana hatuoni wakihamia huko.
Mwenye kujua naomba atujuze, maana hii kitu binafsi siamini kwa kuwa nawajua vizuri wao huwa hawapendi vitu vizuri.
Nataka nione maajabu kutoka kinondoni manyanya hadi Mikocheni. Mwenye kujua please