mchuziwanyoka
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 374
- 28
hatimaye ule usemi ngoma ya kitoto aikeshi umetimia baada ya cdm kula matapishi yao kutokana na kauli ya rais kuwa wanatoka lakini mimi ndio raisi wao sasa yametimia na kwenda kunywa kikombe cha juisi na kulainika kama mlenda asemavo shibuda