democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
ninaiona hoja katika uchambuzi wa mleta mada,tatizo letu watanzania ni kuwa hatuko tayari kupongeza au kupeana moyo pale upande mwingine unapokuwa umefanya vema,hii ya mwamba ngoma ndo bado inawasumbua baadhi ya watu nchini mwetu,but from what i know we must get there....................