johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,994
Muundo wa sasa wa Tume ya Uchaguzi ni sawa na Mtego wa Panya hunaswa wahusika na wasiohusika
Angalizo:
Chadema wakishiriki Uchaguzi kwa Tume hii ya Uchaguzi ni Wazi CCM itashinda kirahisi lakini Wao Chadema watapata Wabunge na Madiwani Wawili Watatu
Ikiwa Chadema hawatashiriki itakuwa ni furaha kuu kwa CCM kwa sababu watapata Ushindi wa 100% huku Tanganyika
Uamuzi ni wenu Ufipa st
Nawatakia Alhamis njema 😀
Angalizo:
Chadema wakishiriki Uchaguzi kwa Tume hii ya Uchaguzi ni Wazi CCM itashinda kirahisi lakini Wao Chadema watapata Wabunge na Madiwani Wawili Watatu
Ikiwa Chadema hawatashiriki itakuwa ni furaha kuu kwa CCM kwa sababu watapata Ushindi wa 100% huku Tanganyika
Uamuzi ni wenu Ufipa st
Nawatakia Alhamis njema 😀