Arnold Ringo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 2,318
- 393
Chadema Nichama Makini kwa watu makini, kama ndio metumwa kuja kumuombea msama hapa JF basi siyo mahali pake chadema hatukurupuki mambo kama ccm poleni jaribuni tena
Jibu sawia kabisa kwa watu kama Pasco and co. anahangaika Zitto kukuombewa msamaha wakati Lowassa kapigwa ban na mods wa CCM.Hayo ni mawazo mgando yasiyofaa kusikika ndani ya chama makini cha Chadema,
Hangaika kumuombea msamaha Lowasa dhidi ya cc ya ccm kwakufungiwa mwaka mzims kutotoa rushwa makanisani na misikitini
CHADEMA sasa inapaswa kupitia upya na kufanya masahihisho. kwa maamuzi yote magumu yaliyo wahi kuchukuliwa na vikao vya chama hasa KAMATI KUU.kwakuwa imeweza kutengua msimamo wake na kuvunja serikali kivuli bungeni na kuunda serikali ya pamoja inayo wakilisha upinzani bungeni na kuvishirikisha,vyama vya NCCR na CUF.umefika wakati sasa kupitia upya yale maamuzi magumu na kuwa samehe na kuwa rudisha akina zito kabwe,dr kitilia mkumbo na samson mwigamba katka chama.kuwarudisha akina mtela mwampamba,juriana shonza na habibu mchange. haiingii akilini kama unaweza shirikiana na CCM (B) Kwa undani eti ushinde kushirikiana na alie itwa anatumika na CCM. MBOWE,SI LAA NA WAJUMBE WOTE WA KAMATI KUU kwa pamoja au kwa kila mmoja kwa wakati wake amuweni kuruhusu fikira hii mpya kwenu.huku mkitafakali faida na hasala ktk hili.Ally makwilo.
Wewe unaona chopa tatu kata tatu tu hujiulizi serikali nzima pamoja na majeshi yote pamoja na BOT yao lakini wakapigwa 4-0.Hahahaha, nimeanza kuongelea Serikali tatu kabla ya wewe kuijuwa JF ni nini.
Chadema kuwepo au kutokuwepo si tatizo, kuwa na uhai ndio tatizo, hivi wewe unavyoiona sasa hivi si iko ICU, au hilo hulioni?
Umesahau mara hii? jikumbushe:
-Chopa tatu kata tatu.
-Kalenga
-Chalinze.
Chama chenye uhai kinagaragazwa namna hiyo?
kumbuka, tukiongelea kifo cha chama usifikiri ni kama kifo cha binaadam! ile kuwa ineffective uwepo wake ndio kifo cha chama. Hivi sasa chadema bila UKAWA (CUF na NCCR) kina uhai gani? turufu iliyobaki ndio hiyo ya kuwalamba miguu akina Jussa na Maalim Seif, na mkija bara huku mumlambe miguu Lipumba na Mbatia.
Wewe unaona chopa tatu kata tatu tu hujiulizi serikali nzima pamoja na majeshi yote pamoja na BOT yao lakini wakapigwa 4-0.
'Active' is a relative term, ngoja nikufahamishe Chedema ilivyo active.
CCM wameacha kuhubiri sera zao sasa ni Ukawa tu, na kwa taarifa yako activities nyingi za kisiasa zinazofanyika leo nchini ring leader wake ni Chadema, huwezi kuzungumzia Katiba mpya bila kuitaja Chadema, huwezi kuongelea uchaguzi wowote bila kuitaja Chadema, magazeti na TV bila kuwepo habari ya Chadema gazeti haliuziki, nimeshakuambia wewe tu kuishabikia Tanganyika kurudi ni sera ya Chadema, unataka uhai gani wa kisiasa Chadema iwe nao.
Unataka kutuambia CCM iliposhindwa 4-0 kule Arusha ilikuwa imekufa au haikuwa active? kwa akili yako Republican ya marekani kushindwa mara mbili na Democrat tayari imeshakufa au haiko active?
Kwenye siasa kushinda na kushindwa ni matokeo,
Hahahaha, nimeanza kuongelea Serikali tatu kabla ya wewe kuijuwa JF ni nini.
Chadema kuwepo au kutokuwepo si tatizo, kuwa na uhai ndio tatizo, hivi wewe unavyoiona sasa hivi si iko ICU, au hilo hulioni?
Umesahau mara hii? jikumbushe:
-Chopa tatu kata tatu.
-Kalenga
-Chalinze.
Chama chenye uhai kinagaragazwa namna hiyo?
kumbuka, tukiongelea kifo cha chama usifikiri ni kama kifo cha binaadam! ile kuwa ineffective uwepo wake ndio kifo cha chama. Hivi sasa chadema bila UKAWA (CUF na NCCR) kina uhai gani? turufu iliyobaki ndio hiyo ya kuwalamba miguu akina Jussa na Maalim Seif, na mkija bara huku mumlambe miguu Lipumba na Mbatia.
Kamati kuu gani unayoiomba imsamehe, hii hii iliyowavua akina Zitto madaraka au hii hii ya akina Mbowe iliyomuona Zitto si chochote kwenye baraza kivuli ikamuacha, i wonder labda CC ya ACT.Mnao endelea kupinga sio viongozi ktk chadema. naishauri kamati kuu.
CHADEMA sasa inapaswa kupitia upya na kufanya masahihisho. kwa maamuzi yote magumu yaliyo wahi kuchukuliwa na vikao vya chama hasa KAMATI KUU.kwakuwa imeweza kutengua msimamo wake na kuvunja serikali kivuli bungeni na kuunda serikali ya pamoja inayo wakilisha upinzani bungeni na kuvishirikisha,vyama vya NCCR na CUF.umefika wakati sasa kupitia upya yale maamuzi magumu na kuwa samehe na kuwa rudisha akina zito kabwe,dr kitilia mkumbo na samson mwigamba katka chama.kuwarudisha akina mtela mwampamba,juriana shonza na habibu mchange. haiingii akilini kama unaweza shirikiana na CCM (B) Kwa undani eti ushinde kushirikiana na alie itwa anatumika na CCM. MBOWE,SI LAA NA WAJUMBE WOTE WA KAMATI KUU kwa pamoja au kwa kila mmoja kwa wakati wake amuweni kuruhusu fikira hii mpya kwenu.huku mkitafakali faida na hasala ktk hili.Ally makwilo.
Siasa za JF zilikuwa zinaharibiwa na wapenzi wa Zitto, hizo sifa tumewaachia ACT sisi tuko field.Kijana hata JF ni shahidi, ilikuwa hapa mtu usie chadema ukiweka post moja kuipinga, amma unakula ban amma post inafutwa, sasa hivi tazama. Unayaona hayo?
Kinana si mchezo, kubwabwaja mnaweza sana lakini "effectiveness" ya kwenye umma huko, kwishnei. Sasa hivi CUF na NCCR ndiyo imekuwa kama oxygen yenu mliobandikwa nayo ICU, bila hao hamna matumaini ya kuishi.
Mliwaita CCM B, mliwaita wameolewa, mliwakejeli, mliwanyima kushiriki kambi ya upinzani bungeni, leo kulikoni? baniani mbaya kiatu chake dawa?
Siasa za JF zilikuwa zinaharibiwa na wapenzi wa Zitto, hizo sifa tumewaachia ACT sisi tuko field.
Kwenye siasa hakuna uadui wala urafiki wa kudumu huko Zanzibar leo CCM na CUF wanaendesha serikali ya umoja.
Siasa kama biashara yeyote ili ufanikiwe unahitaji strategic plan (short and long term), kwa hiyo hata kitendo cha Chadema kuwaruhusu CUF na NCCR ni mojawapo ya mipango kisiasa ambayo kama ukiwa mtu neutral utakubaliana nami kuwa imewachanganya sana CCM. Kama CCM walitegemea kuisambaratisha Chadema pekee kabla ya uchaguzi 2015 sasa itabidi itafute mbinu zingine ili iweze kuisambaratisha UKAWA nzima.
Whatever you call it iwe kuwalamba, kuwabeba haijarishi kama lengo linatimia.Kuwaruhusu? au chadema kuwalamba miguu CUF na NCCR.
Bila ukawa mnanini zaidi chadema? nyimbo zote zime flop.
We ajuza unaongea kama adeni rage, yule msomali wa tabora. Huwezi jua, pengine nawe ni zao la somalia. Umshukuru Nyerere kwa kuwaruhusu wakimbizi kufurahia maisha hapa TZ.
Mzee Edwin Mtei hebu angalieni namna ya kumuomba Zitto msamaha, Chama chenu kinateketea mchana kweupe.
Wewe unaona chopa tatu kata tatu tu hujiulizi serikali nzima pamoja na majeshi yote pamoja na BOT yao lakini wakapigwa 4-0.
'Active' is a relative term, ngoja nikufahamishe Chedema ilivyo active.
CCM wameacha kuhubiri sera zao sasa ni Ukawa tu, na kwa taarifa yako activities nyingi za kisiasa zinazofanyika leo nchini ring leader wake ni Chadema, huwezi kuzungumzia Katiba mpya bila kuitaja Chadema, huwezi kuongelea uchaguzi wowote bila kuitaja Chadema, magazeti na TV bila kuwepo habari ya Chadema gazeti haliuziki, nimeshakuambia wewe tu kuishabikia Tanganyika kurudi ni sera ya Chadema, unataka uhai gani wa kisiasa Chadema iwe nao.
Unataka kutuambia CCM iliposhindwa 4-0 kule Arusha ilikuwa imekufa au haikuwa active? kwa akili yako Republican ya marekani kushindwa mara mbili na Democrat tayari imeshakufa au haiko active?
Kwenye siasa kushinda na kushindwa ni matokeo,
Whatever you call it iwe kuwalamba, kuwabeba haijarishi kama lengo linatimia.
Chadema tuna nini? my dear we have nothing to lose except your chain.
CHADEMA sasa inapaswa kupitia upya na kufanya masahihisho. kwa maamuzi yote magumu yaliyo wahi kuchukuliwa na vikao vya chama hasa KAMATI KUU.kwakuwa imeweza kutengua msimamo wake na kuvunja serikali kivuli bungeni na kuunda serikali ya pamoja inayo wakilisha upinzani bungeni na kuvishirikisha,vyama vya NCCR na CUF.umefika wakati sasa kupitia upya yale maamuzi magumu na kuwa samehe na kuwa rudisha akina zito kabwe,dr kitilia mkumbo na samson mwigamba katka chama.kuwarudisha akina mtela mwampamba,juriana shonza na habibu mchange. haiingii akilini kama unaweza shirikiana na CCM (B) Kwa undani eti ushinde kushirikiana na alie itwa anatumika na CCM. MBOWE,SI LAA NA WAJUMBE WOTE WA KAMATI KUU kwa pamoja au kwa kila mmoja kwa wakati wake amuweni kuruhusu fikira hii mpya kwenu.huku mkitafakali faida na hasala ktk hili.Ally makwilo.
Hahahaha, nimeanza kuongelea Serikali tatu kabla ya wewe kuijuwa JF ni nini.
Chadema kuwepo au kutokuwepo si tatizo, kuwa na uhai ndio tatizo, hivi wewe unavyoiona sasa hivi si iko ICU, au hilo hulioni?
Umesahau mara hii? jikumbushe:
-Chopa tatu kata tatu.
-Kalenga
-Chalinze.
Chama chenye uhai kinagaragazwa namna hiyo?
kumbuka, tukiongelea kifo cha chama usifikiri ni kama kifo cha binaadam! ile kuwa ineffective uwepo wake ndio kifo cha chama. Hivi sasa chadema bila UKAWA (CUF na NCCR) kina uhai gani? turufu iliyobaki ndio hiyo ya kuwalamba miguu akina Jussa na Maalim Seif, na mkija bara huku mumlambe miguu Lipumba na Mbatia.