Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Macmillan George ? JAKAYA MRISHO KIKWETE FOR 2010: Bila kutumia akili wameanza kuwavisha wafuasi wao njano na kijani na kuwaambia waanzishe fujo ili tuonekane ni sisi. Nawaombeni wana CCM watu wapenda amani tusiwe wajingakama wao, tuwe watulivu wala tusijibizane nao wanatafuta sababu ili waseme ni sisi. Wameanza hili walipowaona waangalizi wa nje wamekuja ili waone upuuzi wao na kuuhusisha na CCM. Wale so wajinga kama wao nyie endeleeni matokeo yake wapiga kura wenu wachache mlo nao wataishia jela na mahospitalini wakiugulia madonda ya wao kwa wao, mwisho wa siku mseme mmeibiwa kura.
CCM tuko imara na hakika kwa pamoja tutashinda kw kishindo!
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
JK Hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Source: Face Book
CCM tuko imara na hakika kwa pamoja tutashinda kw kishindo!
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
JK Hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Source: Face Book