Chadema wafanye yafuatayo ili kushinda uchaguzi ujao

Kisendi

JF-Expert Member
Jan 29, 2009
699
178
1. Waachane na maandamano
2. Watafute wanachama kila pembe ya TZ na uongozi wote wa juu wa CHADEMA uwe na sura ya KITAIFA SIO KIKANDA
3. WAMSHAWISHI MTU KAMA SITTA au KAMA dr SLAA ATAGOMBEA BASI wawe na timu ya kitaifa ili kama wakichukua nchi iwe ya kitaifa
4. Kwa sasa chadema inakubalika kilichopo ni kutulia na kujipanga na watumie usalama wa taifa walio tayari kuipeleka mbele nchi yetu.


BILA HAYO:

1. Chama kitaonekana kina ukanda hata kama kitakuwa na umoja
2. Washawishi wanachama hata kutoka CCM walio tayari na wenye sifa nzuri hata kama hawataingia sasa waingie dakika za lala salama
3. Mwisho waandae vijalida na wabunge waliopo kazi yao sasa ni kwenda kule vijijini kuongea na wananchi kuhusu chadema,.

Kwa hayo tunaweza kuitoa CCM otherwise itakuwa wimbo wa taifa.


Nawakilisha mawazo yangu.

Amina.
 
1. Waachane na maandamano
2. Watafute wanachama kila pembe ya TZ na uongozi wote wa juu wa CHADEMA uwe na sura ya KITAIFA SIO KIKANDA
3. WAMSHAWISHI MTU KAMA SITTA au KAMA dr SLAA ATAGOMBEA BASI wawe na timu ya kitaifa ili kama wakichukua nchi iwe ya kitaifa
4. Kwa sasa chadema inakubalika kilichopo ni kutulia na kujipanga na watumie usalama wa taifa walio tayari kuipeleka mbele nchi yetu.


BILA HAYO:

1. Chama kitaonekana kina ukanda hata kama kitakuwa na umoja
2. Washawishi wanachama hata kutoka CCM walio tayari na wenye sifa nzuri hata kama hawataingia sasa waingie dakika za lala salama
3. Mwisho waandae vijalida na wabunge waliopo kazi yao sasa ni kwenda kule vijijini kuongea na wananchi kuhusu chadema,.

Kwa hayo tunaweza kuitoa CCM otherwise itakuwa wimbo wa taifa.


Nawakilisha mawazo yangu.

Amina.

Sita ni nani? wewe unamuona sita ni wa maana sana? Sita ni mpambanaji mnafiki sana hapa Tanzania. Chadema hawawezi kukaa kimya kwa kuona watanzania wakinyanyasika. Lazima kushuka mabarabarani
 
Malizia kuvua gamba, zen njoo sebureni tuongee.



1. Waachane na maandamano
2. Watafute wanachama kila pembe ya TZ na uongozi wote wa juu wa CHADEMA uwe na sura ya KITAIFA SIO KIKANDA
3. WAMSHAWISHI MTU KAMA SITTA au KAMA dr SLA
A ATAGOMBEA BASI wawe na timu ya kitaifa ili kama wakichukua nchi iwe ya kitaifa
4. Kwa sasa chadema inakubalika kilichopo ni kutulia na kujipanga na watumie usalama wa taifa walio tayari kuipeleka mbele nchi yetu.



BILA HAYO:

1. Chama kitaonekana kina ukanda hata kama kitakuwa na umoja
2. Washawishi wanachama hata kutoka CCM walio tayari na wenye sifa nzuri hata kama hawataingia sasa waingie dakika za lala salama
3. Mwisho waandae vijalida na wabunge waliopo kazi yao sasa ni kwenda kule vijijini kuongea na wananchi kuhusu chadema,.

Kwa hayo tunaweza kuitoa CCM otherwise itakuwa wimbo wa taifa.


Nawakilisha mawazo yangu.

Amina.
 
1. Waachane na maandamano
2. Watafute wanachama kila pembe ya TZ na uongozi wote wa juu wa CHADEMA uwe na sura ya KITAIFA SIO KIKANDA
3. WAMSHAWISHI MTU KAMA SITTA au KAMA dr SLAA ATAGOMBEA BASI wawe na timu ya kitaifa ili kama wakichukua nchi iwe ya kitaifa
4. Kwa sasa chadema inakubalika kilichopo ni kutulia na kujipanga na watumie usalama wa taifa walio tayari kuipeleka mbele nchi yetu.


BILA HAYO:

1. Chama kitaonekana kina ukanda hata kama kitakuwa na umoja
2. Washawishi wanachama hata kutoka CCM walio tayari na wenye sifa nzuri hata kama hawataingia sasa waingie dakika za lala salama
3. Mwisho waandae vijalida na wabunge waliopo kazi yao sasa ni kwenda kule vijijini kuongea na wananchi kuhusu chadema,.

Kwa hayo tunaweza kuitoa CCM otherwise itakuwa wimbo wa taifa.


Nawakilisha mawazo yangu.

Amina.

Umetumwa na Six?
 
Sijatumwa lakini lazima tuseme hali halisi ya chama chetu, cdm
 
cdm siyo kama magamba, kila kinachofanyika kimefanyiwa analysis, hawakurupuki. Nia ni kuing'ang'ania ccm kooni mpka izikwe!
 
Sijatumwa lakini lazima tuseme hali halisi ya chama chetu, cdm


nakubaliana na wewe,hata kama umetumwa kuna ukweli nadani yake
nafikiri chadema itafute strategy mpya za kujizatiti zaidi
hali ilivyo haitoshi
 
Back
Top Bottom