1. Waachane na maandamano
2. Watafute wanachama kila pembe ya TZ na uongozi wote wa juu wa CHADEMA uwe na sura ya KITAIFA SIO KIKANDA
3. WAMSHAWISHI MTU KAMA SITTA au KAMA dr SLAA ATAGOMBEA BASI wawe na timu ya kitaifa ili kama wakichukua nchi iwe ya kitaifa
4. Kwa sasa chadema inakubalika kilichopo ni kutulia na kujipanga na watumie usalama wa taifa walio tayari kuipeleka mbele nchi yetu.
BILA HAYO:
1. Chama kitaonekana kina ukanda hata kama kitakuwa na umoja
2. Washawishi wanachama hata kutoka CCM walio tayari na wenye sifa nzuri hata kama hawataingia sasa waingie dakika za lala salama
3. Mwisho waandae vijalida na wabunge waliopo kazi yao sasa ni kwenda kule vijijini kuongea na wananchi kuhusu chadema,.
Kwa hayo tunaweza kuitoa CCM otherwise itakuwa wimbo wa taifa.
Nawakilisha mawazo yangu.
Amina.
2. Watafute wanachama kila pembe ya TZ na uongozi wote wa juu wa CHADEMA uwe na sura ya KITAIFA SIO KIKANDA
3. WAMSHAWISHI MTU KAMA SITTA au KAMA dr SLAA ATAGOMBEA BASI wawe na timu ya kitaifa ili kama wakichukua nchi iwe ya kitaifa
4. Kwa sasa chadema inakubalika kilichopo ni kutulia na kujipanga na watumie usalama wa taifa walio tayari kuipeleka mbele nchi yetu.
BILA HAYO:
1. Chama kitaonekana kina ukanda hata kama kitakuwa na umoja
2. Washawishi wanachama hata kutoka CCM walio tayari na wenye sifa nzuri hata kama hawataingia sasa waingie dakika za lala salama
3. Mwisho waandae vijalida na wabunge waliopo kazi yao sasa ni kwenda kule vijijini kuongea na wananchi kuhusu chadema,.
Kwa hayo tunaweza kuitoa CCM otherwise itakuwa wimbo wa taifa.
Nawakilisha mawazo yangu.
Amina.