Mi nadhani hoja imeungwa mkono, sasa tuangalie utekelezaji, tumeshaongea vya kutosha. Humu ndani namuona dada Regina, mbunge, viongozi wengine CDM kama wapo wayafanyie kazi haya ya kuanzisha mfuko, mimi binafsi niko tayari si tu nkuchanga bali kuhamasisha wadau kufanya hivyo pia.
Mh Regina njooni na utaratibu pliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiz, tuanze hata kesho. cdm hatutaki kusikia mmeshindwa kufanya jambo kwa sababu ya fedha, wachangiaji tupo.
Ningependa kusikia toka kwa viongozi.
PIPOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOZ!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wakati watu wanaongea mambo ya msingi kuhusu ukombozi wewe unaongelea ushoga. hakika pesa za nape zitawapa ujauzito hata mkitumiwa kwa nyuma.
Mie naitwa potokaz nachangia buku ! isaidie familia yako kwanza iko hali mbaya
Huo mfuko msimkabidhi Mbowe kwasababu mtakuta hela zote zipo counter Bilicanas
Na wewe soma kwanza uelewe.kuwa mwelewa wewe umesikia billicanas kuna pesa ya chama,acha kuropokaropoka mjinga nini wew
Mkuu hapo umenena!halafu wawekeze kwa mabalozi.ccm hawalipi mabalozi.chadema ianzishe sera ya kulipa mabalozi.hiyo ita leta ushindani ndani ya vijiji kwani walio wengi watajitokeza kugombea kwa upande wa chadema tofauti na sasa ambapo ubalozi ni wito.hali ya kufanya kampeni za kupata nafasi ya ubalozi vijijini itasaidia kuitangaza chadema.mia
Ndugu wana JF
wote mnajua kuwa CDM inakubalika mijini zaidi kwa sababu zifuatazo
1.mjini kuna wasomi wengi ambao ni wepesi wa kuchambua mambo
2. upatikanaji wa Vyombo vya habari vingi
3.Kampeni nyingi huwa zinaishia mijini hasa kwa sababu ya ufinyu wa budget
Ili CDM iweze kuchukua dola 2015 in wazi kuwa ni lazima iweke mkakati wa kwenda vijijini kwa muda huu ili kiweze kuweka mizizi huko kama ilivyo kwa CCM. Kazi hii ni ngumu na inaitaji fedha nyingi.
Napendekeza uongozi wa CDM waanzishe mfuko maalumu ambao wanachama na watanzania wote wenye mapenzi mema na wanaopenda kulikomboa taifa hill 2015 wachangie ili kufanikisha CDM kuenea vijijini. Pia mfuko huo uwezeshe CDM kuanzisha TV na Radio yake ili kiweze kunadi sera zake zaidi. katika kurahisisha uchangiaji utaratibu wa M-Pesa, Tigo pesa nk, etc utakua mzuri sana kutumika.
nawasilisha
wazo lako nzuri kabisa, kwani CDM ikiweza kupata mabalozi wa shina kama ilivyokua wakati wa nyerere yani kila nyumba kumi ikawa na balozi mwanachama wa chadema tunaweza kuongeza wanachama kama ifuatavyo, Tanzania inakadiriwa kuwa na watu 45million, hii ni sawa na kaya million 9 kwa wastani wa watu watano katika kila kaya, that means kaya kumi zikitoa balozi mmoja ina maana tutakua na mabalozi 900,000 nchi nzima. hizo ni kura 900,000, bado wake zao au waume zao marafiki nk. Hivyo hinyo ngazi ya kijiji, kata, tarafa n,k tukiwa na safu za uongozi ngazi zote hizo utajikuta tuna wanachama wakutosha kuibwaga CCM
Ndugu wana JF
wote mnajua kuwa CDM inakubalika mijini zaidi kwa sababu zifuatazo
1.mjini kuna wasomi wengi ambao ni wepesi wa kuchambua mambo
2. upatikanaji wa Vyombo vya habari vingi
3.Kampeni nyingi huwa zinaishia mijini hasa kwa sababu ya ufinyu wa budget
Ili CDM iweze kuchukua dola 2015 in wazi kuwa ni lazima iweke mkakati wa kwenda vijijini kwa muda huu ili kiweze kuweka mizizi huko kama ilivyo kwa CCM. Kazi hii ni ngumu na inaitaji fedha nyingi.
Napendekeza uongozi wa CDM waanzishe mfuko maalumu ambao wanachama na watanzania wote wenye mapenzi mema na wanaopenda kulikomboa taifa hill 2015 wachangie ili kufanikisha CDM kuenea vijijini. Pia mfuko huo uwezeshe CDM kuanzisha TV na Radio yake ili kiweze kunadi sera zake zaidi. katika kurahisisha uchangiaji utaratibu wa M-Pesa, Tigo pesa nk, etc utakua mzuri sana kutumika.
nawasilisha
Craaaap baada ya pesa yote kuimaliza igunga chama akaunti zake zote zipo nyeupeee ! msiwe mnaingia kwenye vitu msivyo viweza. Ushauri wangu sasa ni huu, ni bora chama kisiwe kinashiriki hizi chaguzi ndogo ili hiyo pesa itumike kuimarisha chama vijijini. Kama hili la igunga pesa mmepoteza na hamkupata kitu km mlivyotarajia
Haya sasa, ndio michango ya kulipa deni la hela mlizokopa za kampeni ya Igunga. Hao wa vijijini mtawanunulia na TV pia?
Mtumwa wa mawazo utamjua tuu,we unadhani kwa vile JK na chama chake mnalamba miguu ya RA unaona hiyo ni fahariWashabiki wote wa CDM ni majobless sasa hizo hela zitatoka wapi? Bora mfateni RA awasaidie.