fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,849
- 388
Yawezekana kweli unaionea huruma cdm lakini kwanini usiwaonee huruma wanarufiji maana ni miaka 50 sasa bado wametopea kwenye umaskini wa kutisha.. hata hivyo mbinu mahususi ya utawala huu uliopo madarakani ni kuongeza umaskini vijijini na elimu duni ili kuweza kuendelea kutawala.. mbinu ambayo imefeli pande zingine za nchi yetu na ndio maana sasa wanawatisha hao walio maskini na elimu duni kwamba cdm ni chama cha kikanda nk.VIJIJI ; CCM - vijiji 11, CUF -vijiji 3, Chadema -0.
VITONGOJI; CCM- Vitongoji 27, CUF - 6 na CHADEMA- 0
RIP CHADEMA, MKAPUMZIKE KWA AMANI! Poor you!