KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 963
Unaweza kuyataja hayo majimbo mkuu, ili na sisi tupate mwanga.
mfano majimbo ya bukoba mjini. shinyanga mjini. kibaha. Igunga kt marudio. iyo ni mifano tu.
For sure bila ukawa Tutarudi kule kule. naamini nguvu pia mziki wa ukawa ccm kwaheri. Jaman bila ukawa basi maccm yatatesa tena sana bila shaka