CHADEMA V/S NAPE NNAUYE nana zaidi???? NAPE mkali kisiasa kama marehemu KOLIMBA nani anabisha???

Chilisosi

JF-Expert Member
Oct 19, 2008
3,051
747
Nimekuwa nikifuatilia mikutano ya chadema kwa karibu sana na kugundua kuwa hujaa watu wengi sana kwa sababu ndio wanaonekana kimbilio pekee la watanganyika , lakini kwa mbali namuona huyu Nnape anakuja kwa kasi sana na anafanya kazi bila kulala, yaani kama Dr SlAA ataenda mtwara basi nape yuko bomba mbili songea.

Sikatai CCM wamebaki na watu wachache sana wanaoweza kuwashawishi wananchi, lakini katika hao wachache namuona huyu nape ni sawa na makamanda kumi wa chadema, nina maana nape mmoja ni sawa na MBOWE, SLAA, ZITTO, LISU, LEMA, MNYIKA, MSIGWA, SUGU, MDEE NA YULE DOMO KUBWA SHIBUDA

Mie sina chama ila nawapenda chadema lakini tuwe tunaangalia kwa wapinzani wetu nani tishio,
Wakati Chadema wanazunguka tanzania nzima full squad, NAPE ANAZUNGUKA PEKE YAKE NA MIKUTANO YAKE INAJAA KAMA YA FULL SQUAD YA CHADEMA.

Mie binafsi namuona nape kama marehemu HORACE KOLIMBA, kijana ni mkali kisiasa na ndio hazina kubwa ya CCM. anayepinga na aseme
 
Nape ni mkali wa MIPASHO kama mzee Yusuph...

Kwenye siasa Nape ni mchumba tu, alishindwa kwenye kura za maoni za ubunge wa Ubungo na Hawa Ng'umbi aliyeshindwa na Mnyika kwa kura kibao. Kwa maana hiyo kisiasa Nape hajafikia hata hadhi ya Mnyika, sasa kwa nini umpeleke kwenye CDM yote? Au ndo kujustify hela alizokupa, maana saizi anakampeni ya kuzunguka peke yake kote waliokopita makamata apatepate Per Diems maana makao makuu pagumu sana, lakini wananchi wamemkataa kabisa kama ilivyotokea Mafinga, Makambako na Njombe akaishia kupiga ngoma tu na kupiga picha na watoto wadogo eti ubora wa zizi ni ndama
 
Nape ni mkali wa MIPASHO kama mzee Yusuph...

Kwenye siasa Nape ni mchumba tu, alishindwa kwenye kura za maoni za ubunge wa Ubungo na Hawa Ng'umbi aliyeshindwa na Mnyika kwa kura kibao. Kwa maana hiyo kisiasa Nape hajafikia hata hadhi ya Mnyika, sasa kwa nini umpeleke kwenye CDM yote? Au ndo kujustify hela alizokupa, maana saizi anakampeni ya kuzunguka peke yake kote waliokopita makamata apatepate Per Diems maana makao makuu pagumu sana, lakini wananchi wamemkataa kabisa kama ilivyotokea Mafinga, Makambako na Njombe akaishia kupiga ngoma tu na kupiga picha na watoto wadogo eti ubora wa zizi ni ndama
Mnyalukolo,
Kkura za maoni sio kipimo cha kukubalika kitaifa, Hawa ngumbi anaweza kuwa na ngome kubwa kwenye jimbo lakini yeye ni nani kitaifa??? Amini usiamini Jina la nape linakua kwa kasi sana na usije kushangaa kijana miaka ijayo akawa mwenyekiti wa CCM na baada ya hapo unajua maana yake nini?
 
kwa hili unajitukana mwenyewe.
re-think critically.

Kaka kwani ni kosa kumsifia mtu, mbona wewe unawasifia chadema sisemi unajitukana, kumbuka uhuru wa maoni. Usiwe sawa na mshabiki wa yanga akiona unaisifia simba kwa kucheza vizuri mashindano ya nje anakuona kama unajitukana kwa sababu na wewe ni yanga
 
Waliokunywa maji ya bendera ya CCM wanakuaga kama wehu,
yaani umeshindwa kutofautisha siasa na mipasho?
Kwa taarifa yako Nape ni bingwa wa mipasho na matusi hajui kujenga hoja zaidi ya matusi na kebehi.
 
Nape mmoja kwa CHADEMA nzima, halafu unauliza nani zaidi?

Tunamwachia kijana awahenyeshe, sisi utatuona inapobidi.
 
Mnyalukolo,
Kkura za maoni sio kipimo cha kukubalika kitaifa, Hawa ngumbi anaweza kuwa na ngome kubwa kwenye jimbo lakini yeye ni nani kitaifa??? Amini usiamini Jina la nape linakua kwa kasi sana na usije kushangaa kijana miaka ijayo akawa mwenyekiti wa CCM na baada ya hapo unajua maana yake nini?
Haiwezekani ushindwe kukubalika mtaani unakotokea halafu ukakubalika kitaifa. Muulize Nape kwa nini mikutano yake inaambatana na kukodi watu, kuwanunulia full tank madereva wa bodaboda, kugawa nauli na nguo za kulimia aka Tshirt za magamba?? Kwa nini asiende kavukavu kama Lema? Huyu jamaa hakubaliki kuanzia jimboni anakoishi, humu JF, FB wanadai wakimpinga anawaunfriend, na hata kwenye chama chake hakubaliki, only kwa kuwa kawekwa na MWENYEKITI ndio maana wanamuunga mkono kinafiki
 
Waliokunywa maji ya bendera ya CCM wanakuaga kama wehu,
yaani umeshindwa kutofautisha siasa na mipasho?
Kwa taarifa yako Nape ni bingwa wa mipasho na matusi hajui kujenga hoja zaidi ya matusi na kebehi.
Aliwahi kuwatishia vijana wa Kirumba, Mwanza kuwa atawashikisha ukuta... Akiwa na jamaa yake aliyejipambanua kuwa ni kichaa, LUSINDE
 
Waliokunywa maji ya bendera ya CCM wanakuaga kama wehu,
yaani umeshindwa kutofautisha siasa na mipasho?
Kwa taarifa yako Nape ni bingwa wa mipasho na matusi hajui kujenga hoja zaidi ya matusi na kebehi.

Duh! Wee kichomiz kweli una kichomi, hebu soma vizuri point Zangu kwanza, mie Sio ccm napenda chadema na sina chama
 
Ama kweli chadema ni kiboko. CCM sasa matumbo joto hawatulii,wamekuwa wapinzani wanafuata nyayo kila CHADEMA wanapopita. Wanapelekwa mchakamchaka,walizoea vyama vya msimu sasa wamekumbana na kiboko chao.

Pamoja na propaganda zote chafu kwa kutumia vyombo mbalimbali kuichafua CHADEMA,bado uongozi shupavu wa mbowe ,slaa na wengine wameweza kukivusha chama.

Msiyumbishwe na hao wanaoweweseka na M4C sisi wananchi tuko nyuma yenu na tunaunga mkono kazi yenu nzuri ambayo haina mfano tangu kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi.Tunaomba mkaze uzi kujikita zaidi vijijini ili nape awafuate huko huko
 
Mnyalukolo,
Kkura za maoni sio kipimo cha kukubalika kitaifa, Hawa ngumbi anaweza kuwa na ngome kubwa kwenye jimbo lakini yeye ni nani kitaifa??? Amini usiamini Jina la nape linakua kwa kasi sana na usije kushangaa kijana miaka ijayo akawa mwenyekiti wa CCM na baada ya hapo unajua maana yake nini?
katika majina ya vichaa,hata mie nimesikia linashika kasi balaaaaaaa.
 
siasa za tz bwana mi nilifikili utasema nani mtendaji kumbe unaangalia ujazaji watu mikutanoni.....!
Hongera kwa mawazo.
 
Mnyalukolo,
Kkura za maoni sio kipimo cha kukubalika kitaifa, Hawa ngumbi anaweza kuwa na ngome kubwa kwenye jimbo lakini yeye ni nani kitaifa??? Amini usiamini Jina la nape linakua kwa kasi sana na usije kushangaa kijana miaka ijayo akawa mwenyekiti wa CCM na baada ya hapo unajua maana yake nini?
yeah unaona mbali sana. Big up
 
Back
Top Bottom