MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,004
Kaka kwani ni kosa kumsifia mtu, mbona wewe unawasifia chadema sisemi unajitukana, kumbuka uhuru wa maoni. Usiwe sawa na mshabiki wa yanga akiona unaisifia simba kwa kucheza vizuri mashindano ya nje anakuona kama unajitukana kwa sababu na wewe ni yanga
Ahaa kumbe unaongea kisa ni uhuru wa maoni? No comment on that.
Ile edit heading basi maani nana zaidi haieleweki Chilisosi aka kiungo cha chips.