Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Kaibuka mwingine huyo toka usingizini, naona wako wengi wanafanya kupokezana hapa, haya endelea maana malipo yenu hayana shida ni Lumumba tuu!!!! Ila na nyinyi mtalaaniwa na Mungu kutumia fedha zetu kwa mipango ya kutukandamiza!!!CHAMA GANI? MAANA DR SLAA ALITUAMBIA KUWA ZAIDI YA NUSU YA MAAFISA USALAMA WANARIPOTI KWAKE. KAMA CHADEMA wanamiliki zaidi ya nusu ya maafisa usalama, basi tuamini tu kuwa kuharibika kwa mambo yote hapa nchini chadema wanachangia. vinginevyo dr slaa ajitokeze na kufuta kauli yake hiyo