mafinyofinyo
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 4,398
- 3,252
Bila kusahau Mapanga na marunguNa manunuzi yakishindikana bunduki zinachukua nafasi.
Bila kusahau Mapanga na marunguNa manunuzi yakishindikana bunduki zinachukua nafasi.
Huyo ni miongoni wa Chadema asilia wachache waliobaki, huyo amekuzwa kwenye upinzani wenye weledi na malengo.Huyu naye toka siku nyingit, kimwli ni cdm ila kiroho ni ccm
Kwa akili zenu, mmeandika wenyewe ila mnashindwa tambua kuwa mnachosema hapa ni kwamba piga ua, chama kinanunulika.Siyo mnyika tu chadema ni Academ Kama ya ajax amsterdam ambayo hua inalea watoto na kuwauzia club kubwa za ulaya ,chukueni mnyika na wengine mnaowataka lkn kaeni mkijua cdm ni taasis kubwa na hazina ya vijana wanaotumia akili kubwa sio matumbo kama uvccm
Inasikitisha na kushangaza kuona kwamba ccm ya Leo inaona ni ufahari mkubwa sana kurubuni na kupata mchezaji wa CDM/CUF.
Yani hapa inakiri kuwa ccm inawachezaji mizigo na wachezaji wazuri ni lazma inunue wa timu pinzani ili iweze kusonga mbele.
Kwakweli CDM imeweza kuwajaza CCM na wamejaa hasa. Tukaze tu watazidi kukatika na kupoteana.
Haya buana
Inasikitisha sana. chadema walimlipa wema pesa kabla ya kujiunga nao. Hakuna upande wenye unafuu...sasa huyo mfuga watumwa au mnunua watumwa KIMAADILI ni mtu mbaya zaidi.
..Mtumwa inawezekana kuwa uonyonge na umasikini wake umesababisha akubali kuwa Mtumwa.
..Sasa huyo bwana amesukumwa na nini mpaka kuwashika wenzake utumwa? Bila shaka atakuwa ni mtu aliyekosa UTU na asiyethamini HESHIMA YA MWANAADAMU.
..kama siasa ni ideology basi watu hawapaswi kununuliwa ili kufuata ideology husika.
..Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere hawaku akishawishi watu kwa fedha ili kujiunga na chama au kumuunga mkono.
uwezi kunielewa kama wewe unaishi lumumbaWewe ni mwandishi wa habari wa kujitegemea au mwandishi wa habari na mwanapropaganda wa Chadema.?
Sitashangaa kama Kijana wa Lumumba atashindwa elewa tulichoandikaana elimu yenu ni ya MEMKWA.Kwa akili zenu, mmeandika wenyewe ila mnashindwa tambua kuwa mnachosema hapa ni kwamba piga ua, chama kinanunulika.
Sitashangaa kama Kijana wa Lumumba atashindwa elewa tulichoandikaana elimu yenu ni ya MEMKWA.
Mnyika lazima ahame tu maana Mnyika siyo yuleeKuna Taarifa kutoka ya Moja ya Mtandao umeripori kuwa John Mnyika (MB) Amejivua Uwanachama wa Chadema Taarifa hizo si za kweli na John Mnyika anaendelea na Majukumu yake ya Kichama na Kibunge kama Kawaida
View attachment 643122
haya majibu hayauwezi kunielewa kama upo Lumumba mimi si Nyoka wa Kijani ni Mwandishi wa Habari