Kuna watu wanaamini kuwa wapenzi wote wa timu ya Yanga wanaipenda CCM na ukiwa mwana CCM basi wewe lazima ni mpenzi wa Yanga.
Hiyo rangi kwenye hizo gari inachefua
Hiyo Rangi lazima iondolewe kwasababu hata mgonjwa anaweza akazidiwa zaidi kwa kufikiri anapelekwa ile misitu yao ya mateso ya mabwepande
Kwa hyo unataka kusemaje mkuu?Ni juavyo mimi hizi Ambulance zilikuwa ahadi za Godbless Lema tangu alipo shinda, kuna watu huko Uk wali mwahidi.......