- Thread starter
- #21
USHAURI>
Naomba ufanye yafuatayo kama wewe kweli ni kiongozi wa Wanasumbawanga na kuwa unapenda CDM iendelee kuwa rohoni mwa jamii hiyo:-
1. Ita vyombo vya Habari vyote vya hapo Sumbawanga, waeleze ukweli kama ulivyoeleza humu ndani ya JF
2. Kama UNAUHAKIKA na USHAHIDI wa hayo aliyoyatenda Bw Shayo akiwa CDM yamwage hadharani ili watu wajue kuwa hajafanya kosa kujiunga na CCM maanake, amerudi kundini kwa wenzake
3. Hebu waeleze wanasumbawanga waelewe makosa ambayo CCM inayafanya ya kufanya sherehe ya kumkaribisha mtu mmoja ktk chama kwa pesa za Watanzania. Najua CCM haina pesa itakua imechukua pesa aidha toka Halmashauri au Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kufanya ujinga huo. Fedha hizo ni za Wananchi WOTE bila kujali itikadi.
4. Mkuu wa Mkoa huyo Mama, anafanya makosa (najua yeye ni kada wa CCM) lakini angetenda mambo ya kiserikali zaidi kwa ajili ya Sumbawanga na hiyo kazi akamwachia M/kiti wa CCM wilaya manake hata M/kiti CCM Mkoa ni mkubwa hatakiwi kwenda kumpokea huyo NYANG'AU!
Kwaheri kwa sasa.[/QUOT
Big up mkuu, nakuunga mkono 100%
Mkuu sahizi viongozi wa BAVICHA wilaya Ya Sumbawanga wako live Sumbawanga tv wakijibu shutuma na kukanusha upotoshaji uliofanywa pamoja na mengine mtangazaji anawahoji pia hoja nyingine za kitaifa zikiwepo za maandamano. Nadhani sasa utakubaliana na mimi kuwa ushauri unafanyiwa kazi na wanasumbawanga wanapiga simu na kupongeza kukanusha upotoshaji