Tumewachoka chadema wanaoshabikia hawakijui undani wake ila ukiwa mchunguzi utagundua kile ni chama cha ukoo wa kaskazini mwa Tanzania.
Mfano Mbeya kwa Sugu, Mbozi kwa Silinde, Kigoma kaskazini kwa Zitto Kabwe, Mwanza, iringa, Msoma, Na sasa dalili za S'wanga, nk.