KERENG'ENDE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 398
- 31
CCM inafikiri bakwata wanawasaidia kumbe wanawa chimbia kaburi maana bakwata nikikundi cha wahuni ambao hata Waislamu si wote wana kikubali kikundi hiki....
Hayo ni maoni ya mtu binafsi.Binafsi si muislam ila sikupendezwa na kuwataja BAKWATA kwenye hii hoja.Hao ndio magwanda, halafu huu sio udini. Wala sikushangai kabisa tuliyaona siku nyingi sana haya.
we masaburi dhambi ya udini itakutafuna hadi siku unaenda kaburini wewe!yani unaonyesha mapungufu yako apa waziwazi!huna hata subira na uwezo wa kuweka vitu kifuani.wewe ni kenge mkubwa!mdini mbwa wewe...badilika kifaranga wewe.
Hao ndio magwanda, halafu huu sio udini. Wala sikushangai kabisa tuliyaona siku nyingi sana haya.
kaanza kujipendekeza kitambo tuu huyu. Anautamani ukamanda, lakini je, atauweza?kumbe wanapenda kuvaa magwanda.. Malisa kapendeza lakn..
kumbe wanapenda kuvaa magwanda.. Malisa kapendeza lakn..
Hao ndio magwanda, halafu huu sio udini. Wala sikushangai kabisa tuliyaona siku nyingi sana haya.
Bakwata watatoa tamko kwamba chadema wanaandama jimbo la mbunge muislam.
Kwenda zako kule KABAKWA mkubwa wee!Hao ndio magwanda, halafu huu sio udini. Wala sikushangai kabisa tuliyaona siku nyingi sana haya.
sasa green guard uliyaona wewe na nani?Hao ndio magwanda, halafu huu sio udini. Wala sikushangai kabisa tuliyaona siku nyingi sana haya.
we masaburi dhambi ya udini itakutafuna hadi siku unaenda kaburini wewe!yani unaonyesha mapungufu yako apa waziwazi!huna hata subira na uwezo wa kuweka vitu kifuani.wewe ni kenge mkubwa!mdini mbwa wewe...badilika kifaranga wewe.