Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,344
- 219,709
1.Kadi ya bluu (2500) kwa mwaka
2. Kadi ya fedha (25,000) kwa mwaka
3. Kadi ya dhahabu (50,000) kwa mwaka
4. Kadi ya Platnum (100,000) kwa mwaka
5. Kadi ya Almasi (200,000) kwa mwaka
Huu ndio mpango mpya utaowezesha chama kujiendesha kwa mapato yake chenyewe badala ya pesa za ruzuku ambazo CHADEMA ilishazikataa kitambo kwa vile hazikuwa za halali.
MUHIMU SANA : Pamoja na kadi hizo kuwa na viwango tofauti lakini hadhi ya wanachama wote ni sawa , viwango tofauti vimewekwa kwa ubunifu tu ili kuongeza mapato ya Chama yatayowezesha kijiendeshe bila kukwama .
Ombi : Chadema ituwekee utaratibu sisi wengine tulio na uwezo wa kulipa zaidi ya hivyo viwango vyao hata kwa kutuandalia risiti maalum bila hata kubadilisha viwango vilivyowekwa , Kwa mfano naweza kulipa milioni 3 lakini nikaomba nipewe kadi ya bluu ambayo ada yake kwa mwaka ni 2500/= tu
2. Kadi ya fedha (25,000) kwa mwaka
3. Kadi ya dhahabu (50,000) kwa mwaka
4. Kadi ya Platnum (100,000) kwa mwaka
5. Kadi ya Almasi (200,000) kwa mwaka
Huu ndio mpango mpya utaowezesha chama kujiendesha kwa mapato yake chenyewe badala ya pesa za ruzuku ambazo CHADEMA ilishazikataa kitambo kwa vile hazikuwa za halali.
MUHIMU SANA : Pamoja na kadi hizo kuwa na viwango tofauti lakini hadhi ya wanachama wote ni sawa , viwango tofauti vimewekwa kwa ubunifu tu ili kuongeza mapato ya Chama yatayowezesha kijiendeshe bila kukwama .
Ombi : Chadema ituwekee utaratibu sisi wengine tulio na uwezo wa kulipa zaidi ya hivyo viwango vyao hata kwa kutuandalia risiti maalum bila hata kubadilisha viwango vilivyowekwa , Kwa mfano naweza kulipa milioni 3 lakini nikaomba nipewe kadi ya bluu ambayo ada yake kwa mwaka ni 2500/= tu