Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,956
- 12,409
Endelea kuwavuta mkuu kwa vile na ww upo kwenye kundi la wapigaji basi hii ni habar njema kwako na kwa familia yako.
I support 100%. Ruzuku tuwaache wao wazitafune..MUHIMU SANA : Pamoja na kadi hizo kuwa na viwango tofauti lakini hadhi ya wanachama wote ni sawa , viwango tofauti vimewekwa kwa ubunifu tu ili kuongeza mapato ya Chama yatayowezesha kijiendeshe bila kukwama
1.Kadi ya bluu (2500) kwa mwaka
2.kadi ya fedha (25,000) kwa mwaka
3.kadi ya dhahabu (50,000) kwa mwaka
4.Kadi ya Platnum (100,000) kwa mwaka
5.Kadi ya Almasi (200,000) kwa mwaka
Huu ndio mpango mpya utaowezesha chama kujiendesha kwa mapato yake chenyewe badala ya pesa za ruzuku ambazo Chadema ilishazikataa kitambo kwa vile hazikuwa za halali.
MUHIMU SANA : Pamoja na kadi hizo kuwa na viwango tofauti lakini hadhi ya wanachama wote ni sawa , viwango tofauti vimewekwa kwa ubunifu tu ili kuongeza mapato ya Chama yatayowezesha kijiendeshe bila kukwama .
Ombi : Chadema ituwekee utaratibu sisi wengine tulio na uwezo wa kulipa zaidi ya hivyo viwango vyao hata kwa kutuandalia risiti maalum bila hata kubadilisha viwango vilivyowekwa , Kwa mfano naweza kulipa milioni 3 lakini nikaomba nipewe kadi ya bluu ambayo ada yake kwa mwaka ni 2500/= tu
View attachment 1800416
Umeanza vizuri ila umemaliza vibaya , wajionyeshe kwa manufaa ya nani na ili iweje ?Wasiweke wawe na hadhi sawa... ukishatenganisha viwango umeweka madaraja.. jambo la maana ni kusema madaraja hayo yanakuja na ujiko upi... Sasa kuna vitu ambavyo wote wanaweza kuwa sawa (kama kupiga kura, kuomba nafasi za uongozi, n.k) lakini kuna vingine mnaweza kuwawekea ujiko kidogo... kwa mfano uliotolea...
Kuwe na ngazi ya Wafadhili - wanaotoa 3,000,000 kwenda juu... na hawa wanapewa hata vyeti au alama fulani za kujionesha kuwa wao ni wafadhili...
Mkuu mapendekeso yako yaweza kuwa ni mazuri ila chamsingi tu kusiwe na class - wote ni wanachadema aliyetoa 3m na aliyetoa 2500 - this is the key - ni muhimu sana sana!!Wasiweke wawe na hadhi sawa... ukishatenganisha viwango umeweka madaraja.. jambo la maana ni kusema madaraja hayo yanakuja na ujiko upi... Sasa kuna vitu ambavyo wote wanaweza kuwa sawa (kama kupiga kura, kuomba nafasi za uongozi, n.k) lakini kuna vingine mnaweza kuwawekea ujiko kidogo... kwa mfano uliotolea...
Kuwe na ngazi ya Wafadhili - wanaotoa 3,000,000 kwenda juu... na hawa wanapewa hata vyeti au alama fulani za kujionesha kuwa wao ni wafadhili...
Hhah😂😂 naona mkuu gharama sio rafikiHiyo dhahabu ni material yake halisi au rangi ya dhahabu?
Binafsi siafiki utaratibu huu.
Itafikia wakati kwenye kugombea nafasi ndani ya chama watu watapeana kipaumbele kisa ada ya uanachama.
Hutaibiwa chama kiko makiniHahahahahahaha...!!
Kwani wewe na Magufuli mlikuwa na kipato sawa?Haiwezekani wa 2500 akawa sawa na 200000 haitakaa itokee! Msajili anapaswa kuliingilia hili.
Ni ubaguzi wa kipato
Nyie c mnajichotea tu pale hazina, majambazi wakubwa ukiongoza ww Juliana Shonza unayetembea na wanaume za watuMbowe mjanja sana..."makamanda hakuna mshahara miezi sita"..."hatuchukui ruzuku"...sasa kaamua kiwapiga makamanda kwa michango
Hii inanihusu hii Muruwaa sana!3.kadi ya dhahabu (50,000) kwa mwaka
Hivyo ndivyo ilivyo , kumbuka wako watanzania wengi wanataka sana kuchangia ukombozi na wala hawataki kupanda majukwaani wala hawagombei chochote kile , wao ni wadau tuMkuu mapendekeso yote ni mazuri ila chamsingi tu kusiwe na class - wote ni wanachadema aliyetoa 3m na aliyetoa 2500 - this is the key - ni muhimu sana sana!!
Usawa usawa usawa kwa wanachama wote.
Mungu awazidishieMimi na mkewangu mtuorodheshe kwenye kadi ya almasi. Laki 4 kwa mwaka si kitu kukiimarisha chama kinachonivutia.
Chama kinataka kujiimarisha kifedha.na wanachama wapo tayari kuchangia.nadhani usiwaze kuuza kuku wakati hata mayai hayajaanguliwa.Hiyo dhahabu ni material yake halisi au rangi ya dhahabu?
Binafsi siafiki utaratibu huu.
Itafikia wakati kwenye kugombea nafasi ndani ya chama watu watapeana kipaumbele kisa ada ya uanachama.
Kule kwenu CCM wale wahindi wanaowachapishia kofia na Tshrt za bure wakati wa kampeni mnalingana nao kiuchumi?Haiwezekani wa 2500 akawa sawa na 200000 haitakaa itokee! Msajili anapaswa kuliingilia hili.
Ni ubaguzi wa kipato