Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
Tangu jana nasikiliza bunge nikitarajia CHADEMA watafikia hatua ya kutoa tamko la kupeleka hoja binafsi inayomtaka Kikwete ajiuzulu, badala yake naona wanaendeleza tu siasa, na kutoa kauli ambazo zinaruhusu mhusika ajifanyies self assessment. Hapa ilitakiwa CHADEMA watumie lungu la wabunge wengi kuipinga serikali, kama tiketi yao ya kuiondoa serikali madarakani. sasa wanalalamika tu, na hawafikii uamuzi.