Chadema nini msimamo wenu kwenye suala la kukopa?

JPM alipokuwa anasisitiza kupunguza utegemezi wa mikopo kwajili ya maendeleo ya nchi, Chadema walipinga sana na kusisitiza kuwa lazima tukope.

Leo mama anakopa hadi ela ya kununua chumvi mnaona hiyo haifai, sasa mmesimama kumshangilia Ruto anapoongea kauli ileile aliyoongea JPM.

Tupeni msimamo wa chadema kuhusu kukopa maana siku hazigandi maybe baadae mnawezakamata nchi je mtafanya nini katika agenda ya ukopaji?
View attachment 2471740
Wewe ni kilaza JPM alikopa mikopo ya Siri kaondoka amekopa karibia Tirioni 18 tukuulize alizipeleka wapi?
 
Unajua maana ya kupunguza utegemezi?
Alipunguza utegemezi Gani? Rais alidanganya kuwa hakopi tunajenga miradi Kwa pesa yetu kumbe uongo? Huyo Ruto asikudanganye kuwa hatokopa hizo ni propaganda ambazo zilishapitwa na wakati achana na maeneo ya siasa Kwa ground Hali haiko hivyo
 
JPM alipokuwa anasisitiza kupunguza utegemezi wa mikopo kwajili ya maendeleo ya nchi, Chadema walipinga sana na kusisitiza kuwa lazima tukope.

Leo mama anakopa hadi ela ya kununua chumvi mnaona hiyo haifai, sasa mmesimama kumshangilia Ruto anapoongea kauli ileile aliyoongea JPM.

Tupeni msimamo wa chadema kuhusu kukopa maana siku hazigandi maybe baadae mnawezakamata nchi je mtafanya nini katika agenda ya ukopaji?
View attachment 2471740
Unfortunately Kunyaland hawawezi kuishi bila mikopo na wamefikia ceiling ya mwisho kabisa ya Mikopo wako mbioni kufilisika so lazima Rais wao ajikoshe
 
Umeelewa kweli nilichoandika? Lini duniani watu walicha kufa? Namaanisha raia kuuliwa na Rais wao pale wanapomkosoa, Ben alipohoji kuhusu PhD fake yake akauliwa, unakumbuka yaliyompata Mh. LISSU
Kwahiyo siku hizi watu hawafi?

Machadema bwana!
 
Back
Top Bottom