Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,810
- 13,182
Ila baada ya vilio vya Watanzania wengi Mungu akantandika bakora moja ya corona chali, na baada ya yeye kufa na vifo vikakomaChadema ni mapunguani ndio maana magufuli alikuwa anayatandika bakora na mijeledi.