CHADEMA ni tawi tiifu la CCM

Umemsikia Mbowe akizungumzia lolote kuhusu hao wabunge 19?
Zamani niliwahi kuwaza hilo, lakini yaliyomkuta Lissu, Mbowe, Lema, Sugu na viongozi wengine wa Chadema ndio nikajua hawana uhusiano huo.

Ninachojua kwa sasa wale wabunge 19 (aka Covid-19) wale mpaka dakika hii ni CCM ila wanaona aibu kusema
 
Ndugu zangu,

Huwa ninasema na nitaendelea kusema kuwa CHADEMA ni tawi tiifu la CCM. Hata sasa mijadala ya kisiasa inayoendelea wafuasia wa Chadema ni "follower" wa makada wa CCM. utasikia "Samia amteue fulani amuache fulani" au "urais mwaka Fulani twende na fulani"..


Nimeambatanisha uzi nikionyesha jinsi kada wa CCM anavyofanya kazi ndani ya Chadema kama Mwenyekiti.

Mbowe katangaza kuwa Chadema haitashiriki uchaguzi wowote nchini, hii ni dhahiri anataka kuhakikisha CCM inashika hatamu kwenye kila nyanja bila kupingwa.

Tuendelee kusubiri

Ww ndio bonge la kiazi, hapa unaona umecheza mindgame kumbe zoba tu.
 
Kujua kama ni tawi la CCM au la mbona ni rahisi tu.
Tuwe na Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi halafu tutajua ukweli.
 
Hahaha umeongea nini hapo sasa🙄🙄🙄🙄
Hahahaaa mkuu, hao ndio wanao buruzwa na chair mani mbow, wenzao wenye akili wanatega timing wakiona miyayusho imeanza,wana wahi siti CCm, Ref, Doct Slaa, Mashinji, Lowasa, Akina mdee na wengine lukukitu wanawajua.

Sasa ivi wanaunga juhudi kwa mama Safi sana.
Karibuni sana.

Hahaaa nyumbuuuu.
 
Sasa nimezidi na nimeamini CHADEMA ni tawi tiifu la CCM ,hili sakata la Mbowe ni mipangilio na mikakati ya kuwazubaisha wananchi.

Hahaahaaa haa Makubwa.

Ndiyo sababu hawa ndugu:

IMG_20220306_053509_333.jpg


Ni kama unavyowaona mle?

IMG_20220304_154503_924.jpg


Hiiiiii bagosha!
 
pointless
Ndugu zangu,

Huwa ninasema na nitaendelea kusema kuwa CHADEMA ni tawi tiifu la CCM. Hata sasa mijadala ya kisiasa inayoendelea wafuasia wa Chadema ni "follower" wa makada wa CCM. utasikia "Samia amteue fulani amuache fulani" au "urais mwaka Fulani twende na fulani"..


Nimeambatanisha uzi nikionyesha jinsi kada wa CCM anavyofanya kazi ndani ya Chadema kama Mwenyekiti.

Mbowe katangaza kuwa Chadema haitashiriki uchaguzi wowote nchini, hii ni dhahiri anataka kuhakikisha CCM inashika hatamu kwenye kila nyanja bila kupingwa.

Tuendelee kusubiri
 
Back
Top Bottom