Ila demokrasia ni option kwa chadema sio"Mimi naona ni mwendelezo wa propaganda,uzi mrefu lakini hauna hoja!sioni mantiki ya heading na content!
Serikali ni ya watanzania,hakuna justification yoyote kwa serikali kutofuata sheria na katiba ya nchi inayotambua demokrasia!Nyerere alisema,kiongozi yeyote anayevunja katiba hatufai hata kama awe mzuri namna gani!Demokrasia sio option kwa Magufuli,ni wajibu wake kuisimamia na kuilinda katiba inayotambua demokrasia!
Nikuulize swali? Ni kifungu gani cha katiba ambacho Rais kakivunja?Mimi naona ni mwendelezo wa propaganda,uzi mrefu lakini hauna hoja!sioni mantiki ya heading na content!
Serikali ni ya watanzania,hakuna justification yoyote kwa serikali kutofuata sheria na katiba ya nchi inayotambua demokrasia!Nyerere alisema,kiongozi yeyote anayevunja katiba hatufai hata kama awe mzuri namna gani!Demokrasia sio option kwa Magufuli,ni wajibu wake kuisimamia na kuilinda katiba inayotambua demokrasia!
Nimeamua kuwaonesha kuwa kile wanachotaka watendewe basi wanapaswa kutenda kwanza wao. Kama unataka kula basi ukubali na kuliwaMkuu lizaboni kama ni ngumi basi hii ya late Mohamed Ally.Hakuna namna hapo lazima watapinga kwa sauti lakini watakubali nafsini mwao
Nitajie aliyemkosoa akafukuzwa na mimi niorodheshe waliofukuzwa CHADEMA kwa kumkosoa Mbowe.Mkosoe baba kilaza kama haujafukuzwa ccm
S
Wapi huko ambako sukari hakuna?Mkuu sukari hakuna tangu jana siku hizi nyumbani tumegeukia asali hakuna namna ni lazima watu wateseke hadi kieleweke.
Wapi huko ambako sukari hakuna?
Duh hata Chenge atakuwa siyo fisadi?Kwani nani kakuambia kuwa Lugumi ni fisadi?