Kauli ya msajili wa vyama John Tendwa ni ya hatari sana serikali inatakiwa ijiepushe na kauli kama hizi. Hizi kauli hazina tofauti na kauli cha uchochezi ambazo zinaweza kusababisha nchi isitawalike. Nawaasa viongozi kama Tendwa wazisome alama za nyakati, watu sasa hivi wameerevuka sio kama zamani za fikra sahihi za mwenyekiti baba wa taifa. Watu hawana woga wa kijingajinga, kama alilijua ana uwezo wa kukifuta chama chochote cha siasa angefanya hivyo mapema kwa sasa amechelewa CDM ik Tendwa kama msajili na mlezi wa nyama vya siasa ana uchaguzi huu tu... ama aendelee kukilinda CCM ambacho kinakufa na ni sawa na kiegemea nguzo ya mpapai siku ikianguka atanguka nayo au akatae kufanywa mjinga kwa kujiuzulu nafasi hiyo maana hatakuwa na chakuporeza. namsihi asijaribu kukubali kupakwa damu ya wanyonge na watawala hawa ambao wanaikataa sauti kuu YA UMMA ambayo pia ni SAUTI YA MUNGU
Nawafahamu wanaharakati wa LHRC. Hakuna mwoga hata mmoja. Huyo mwandishi wa Daily News ndo mwongo kabisa; Tendwa ni mwana CCM na hategemewi kutetea chama kingine isipokuwa chake. hivi; yeye ni mahakama yenye uwezo wa kutafsiri sheria na kukonclude kuwa kuna uhaini katika harakati za CDM? Tendwa ni feki, period!Kwamba mwanaharakati wa LHRC alisema jambo na kukataa jina lake kutajwa? Naamini ni uongo mkubwa kuliko ule wa Pinda bungeni kuhusu issue za arusha. Sijamuona mwanaharaka wa LHRC muoga hivyo na aliyepwaya hivyo.