kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,180
- 16,182
Helkopta, magari jumlisha matamasha yaliyopewa majina kibao. Hiyo mwisho wa siku ni janja ya viongozi kuwafunika wanachama wao katika mfereji wa kutafuna pesa za chama.
Wanatafuta pa kujifichia pindi CAG atakapo wapatia hati ya mahesabu ni wakati wa wanachadema kutafuta viongozi wapya wataokuwa na uwezo na mikakati ya kupambana na CCM. Sio kuiondoa maana uwezo mikakati na maono pia hawana.
Ccm ni jitu CCM ni dude CCM ni mlima Ccm ni bahari CCM ni ulimwengu hayo matamasha yasiyo tofauti na ya wasafi au ali kiba tofauti yake ni kusema sana mziki kidogo ila mbwembwe ndio zile zile tu kuingia na helkopta au vijiko.
Nawapa ushauri baada ya hizo operesheni daini risiti muoneshwe matumizi ndio mtajua hamna viongozi zaidi ya wachumia tumbo na hawapo kwa ajili ya chama ila kujikimu kwa pesa za chama.
Ukitaka kujua hawajui walifanyalo mpaka leo hii wanapambana na nyerere,wanapambana na Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia badala ya kuelezea mfumo wanashambulia mpaka marehemu wasioweza kujibu kitu. Chadema shtukeni mnaliwa michango inakwenda wapi?
CCM DAIMA MILELE HAKUNA WA KUING'OA!
Safarini Algeria!
Wanatafuta pa kujifichia pindi CAG atakapo wapatia hati ya mahesabu ni wakati wa wanachadema kutafuta viongozi wapya wataokuwa na uwezo na mikakati ya kupambana na CCM. Sio kuiondoa maana uwezo mikakati na maono pia hawana.
Ccm ni jitu CCM ni dude CCM ni mlima Ccm ni bahari CCM ni ulimwengu hayo matamasha yasiyo tofauti na ya wasafi au ali kiba tofauti yake ni kusema sana mziki kidogo ila mbwembwe ndio zile zile tu kuingia na helkopta au vijiko.
Nawapa ushauri baada ya hizo operesheni daini risiti muoneshwe matumizi ndio mtajua hamna viongozi zaidi ya wachumia tumbo na hawapo kwa ajili ya chama ila kujikimu kwa pesa za chama.
Ukitaka kujua hawajui walifanyalo mpaka leo hii wanapambana na nyerere,wanapambana na Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia badala ya kuelezea mfumo wanashambulia mpaka marehemu wasioweza kujibu kitu. Chadema shtukeni mnaliwa michango inakwenda wapi?
CCM DAIMA MILELE HAKUNA WA KUING'OA!
Safarini Algeria!