Mwalimu Nyerere aliisha wahukumu wapinzani siku nyingi sana, mnazoona zote hizi vurugu za CDM ni laana ya huyu mzee
Kufanya maandamano katika vitongozi mbalimbali vya mji wa Mwanza na kisha leo kuhamia Musoma ili kupinga kuongezeka kwa gharama za maisha, malipo ya dowans nk ni kufuata philosophy isiyofahamika. Warabu ni watu makini sana, wao wamefanya maandamano kudai matango tu baada ya miaka mingi ya utawala na hali isiyombaya ya uchumi.
Chadema wanachofanya sasa ni kuiga falsafa ambayo haiwezi kufanya kazi bongo. Tanzania ni nchi iliyojiwekea utaratibu wa kukabidhiana madaraka kila miaka 5.
Nawashauri CDM wasubiri 2015 vinginevyo watapoteza MVUTO.
Charityboy,,,think of your name......
Siasa si uchaguzi tu,siasa ni maisha ya kila siku,ni uchumi,na chadema tunatambua hilo,ni wajibu wa chadema kufanya siasa bila na kupinga upandaji hovyo wa gharama za maisha,ushauri wako ni batili na kamwe chadema hawatakubali....
Chadema hawakurupuki,na wanachofanya ni sahihi bila kujali wewe charityboy utasemaje
ni swala la muda tu
saa ya ukombozi ni sasa