CHADEMA na FALSAFA ZA WAARABU

kwani Misri walikuwa hawana utaratibu wa kukabidhiana madaraka kila baada ya miaka mitano? Au Tunisia? au Yemen?
walikua hawana,ben ali wa tunisia katawala miaka 25, mubarak wa misri alitawala miaka 29 na gadafi ametawala miaka 41, na ali muhammad saleh wa yemen ametawala miaka 31 hapo utaona kuna tofautikubwa sana na tzania mwinyi katawala miaka 10,mkapa miaka 10,na jk miaka 6 tu nakunakua na uchaguzi kila baada ya miaka 5 hapo pima na utaona tofauti.
 
Kufanya maandamano katika vitongozi mbalimbali vya mji wa Mwanza na kisha leo kuhamia Musoma ili kupinga kuongezeka kwa gharama za maisha, malipo ya dowans nk ni kufuata philosophy isiyofahamika. Warabu ni watu makini sana, wao wamefanya maandamano kudai matango tu baada ya miaka mingi ya utawala na hali isiyombaya ya uchumi.
Chadema wanachofanya sasa ni kuiga falsafa ambayo haiwezi kufanya kazi bongo. Tanzania ni nchi iliyojiwekea utaratibu wa kukabidhiana madaraka kila miaka 5.
Nawashauri CDM wasubiri 2015 vinginevyo watapoteza MVUTO.

Chadema wamefanya/panga maandamano hata kabla ya hao waarabu. Hv ni kitu gani kinakufanya uamini ya huko uarabuni hayawezi kutokea hapa? Nikukumbushe kuwa kuna waliosema watu wa Libya hawawezi kuandamana coz wanampenda gadaffi, but it is happening now. Halafu huo umakini wa waarabu umeanza lini wakati kila siku they are whining at europeans.. U give them more credit than they deserve! CDM haiwez kuiga kwa waarabu maana wao sio waanzilishi wa maandamano/mapinduzi!
Kuhusiana na utaratibu wa kukabidhiana madaraka kila baada ya miaka 5, huoni kwamba wanabadilishana wa chama kile kile, tena wanashinda kwa hila (kama mbarak, ben ali na muammar gaddaffi) ktk chaguzi? Unaona mtu yule yule kuwa rais kwa miongo ni ishu, but chama kile kile sio ishu?
 
Wenzenu walikuwa wanasema maneno hayo hayo leo wako mafichoni Saudia.....
 
Werevu hawawapati hata siku moja. CDM bado mnahitaji miaka mingi ya KUNYONYA kabla ya kupewa nchi. Hii nchi tuna uchungu nayo sana hatuwezi kuwapa kirahisi.

Uchungu utakuwa nao wewe kaka!! Babaako kijijini kafa na wala hakuwahi hatakumiliki baiskeli pamoja na ukereketwa wake wote kwa CCM
 
Nani anayetegemewa kufanya mabadiliko ya maisha binafsi? Ni nani anayetakiwa kuona kuwa maisha yako ni magumu? Ni ngumu sana kupata mtazamo wenye tija kwa mtu anayeamini Charitism! Kwani hata anachopata toka CCM ni charity pia, anjuaje kuhusu haki? Mbaya zaidi siyo mtu wa kumbukumbu kwani CDM walipoandamana kule Arusha waarabu walikuwa bado! Sidhani kama unahitaji kumfuata mwarabu pale unapoumia, maumivu ndoyanayokupeleka katika maamuzi yoyote unayochukua. Pale Zambia walipoamua kuandamana kwa ajili ya mkate waarabu hawakuwa wameanza. Ndo utaratibu unaotumika kupeleka ujumbe kwa serikali na lengo soyo kufanya mapinduzi kama ya waarabu. Sikioni hicho kichwa unachosema bali naona ni jinsi gani huwezi kujibu mtihani wa saa 3 kwa swali 1. Ni mfinyu!!
 
Kufanya maandamano katika vitongozi mbalimbali vya mji wa Mwanza na kisha leo kuhamia Musoma ili kupinga kuongezeka kwa gharama za maisha, malipo ya dowans nk ni kufuata philosophy isiyofahamika. Warabu ni watu makini sana, wao wamefanya maandamano kudai matango tu baada ya miaka mingi ya utawala na hali isiyombaya ya uchumi.
Chadema wanachofanya sasa ni kuiga falsafa ambayo haiwezi kufanya kazi bongo. Tanzania ni nchi iliyojiwekea utaratibu wa kukabidhiana madaraka kila miaka 5.
Nawashauri CDM wasubiri 2015 vinginevyo watapoteza MVUTO.

Kwanza kabisa umepotoka vibaya sana unaposema 'falsafa za Waarabu'. Hizi si za Waarabu, hazikuanzia kwao. Nchi za Ulaya Mashariki kama vile Romania Czechoslovakia, Hungary, Ujerumani ya Mashariki, Poland etc walichukuwa hatua kama hizo kujikomboa na wakashinda.

Halafu kulikuwa nchi kama Philippines (alipong'olewa dikteta Marcos) na Indonesia (alipotimuliwa Dikteta Suharto)wa maandamano tu. Zote hizi hazikuwa nchi za Kiarabu. sitaji Iran alipotimuliwa Sha kwa maandamano, kwani baadhi yenu mtasema Wairani ni Waarabu.

Kwa ujuma hujui chochote unachokisema, unabahatisha bahatisha tu. So sad!!!!! Sijui elimu yako imekaaje vile?
 
Wasomi historia za nchi za kiarabu tangia enzi za manabii, ndio watakapo jiona Tanzania ni tofauti kabisa na nchi hizo, CHADEMA MMECHANGANYIKIWA VIBYA sana , Mungu awarehemu !
Chadema wameanza kuitumia Falsafa ya Nguvu ya Umma tangia uchaguzi wa mwaka 2005 mie hapo ndo nilianza kusikia rasmi neno People's power kipnd hicho Mbowe ndo alikuwa mgombea Urais kupitia CDM.Katika uchaguzi uliomalizika mwaka jana Falsafa hii ya Nguvu ya Umma ilitumiwa na CDM na wote tumeshuhudia ufanisi wake kama sio Kuchakachua hata Urais tungekuwa tunaongea mengine.

Hii nguvu ya Umma inayotokea kwenye Nchi za Kiarabu imeanza juzi tu hapa haina hata mwezi sema impact yake imekuwa kubwa sana sasa hapa niwahoji mtoa Mada na nyie wengine ambao mnapoteza kumbukumbu mapema nani aliyemuiga mwenzake?
 
Wasomi historia za nchi za kiarabu tangia enzi za manabii, ndio watakapo jiona Tanzania ni tofauti kabisa na nchi hizo, CHADEMA MMECHANGANYIKIWA VIBYA sana , Mungu awarehemu !
Chadema wameanza kuitumia Falsafa ya Nguvu ya Umma tangia uchaguzi wa mwaka 2005 mie hapo ndo nilianza kusikia rasmi neno People's power kipnd hicho Mbowe ndo alikuwa mgombea Urais kupitia CDM.Katika uchaguzi uliomalizika mwaka jana Falsafa hii ya Nguvu ya Umma ilitumiwa na CDM na wote tumeshuhudia ufanisi wake kama sio Kuchakachua hata Urais tungekuwa tunaongea mengine.

Hii nguvu ya Umma inayotokea kwenye Nchi za Kiarabu imeanza juzi tu hapa haina hata mwezi sema impact yake imekuwa kubwa sana sasa hapa niwahoji mtoa Mada na nyie wengine ambao mnapoteza kumbukumbu mapema nani aliyemuiga mwenzake?
 
Werevu hawawapati hata siku moja. CDM bado mnahitaji miaka mingi ya KUNYONYA kabla ya kupewa nchi. Hii nchi tuna uchungu nayo sana hatuwezi kuwapa kirahisi

hata sisi tuna uchungu nayo,mko wangapi?
 
Kufanya maandamano katika vitongozi mbalimbali vya mji wa Mwanza na kisha leo kuhamia Musoma ili kupinga kuongezeka kwa gharama za maisha, malipo ya dowans nk ni kufuata philosophy isiyofahamika. Warabu ni watu makini sana, wao wamefanya maandamano kudai matango tu baada ya miaka mingi ya utawala na hali isiyombaya ya uchumi.
Chadema wanachofanya sasa ni kuiga falsafa ambayo haiwezi kufanya kazi bongo. Tanzania ni nchi iliyojiwekea utaratibu wa kukabidhiana madaraka kila miaka 5.
Nawashauri CDM wasubiri 2015 vinginevyo watapoteza MVUTO.

kamanda n kuweke sawa, hapa CDM haipo kwa ajili ya kuwa na mvuto wa kinafiki, ipo kwaajili ya UMMA, ni bora ukapoteza huwo mvuto kwa kumuelisha asiyefahamu kinacho endelea, kuliko kubembeleza kuwa na mvuto then mwisho wa siku utokwe na kovu, CDM haija chukua falsafa ya waarabu hii ni kawaida ya CDM kuishtaki serikali pale inapokosa kwa wananchi... kwa kuwa wananchi ndiyo mahakama ya mwisho ya maamuzi, na serikali ya ccm haisikii kuambiwa kwa maneno inataka vitendo kama hivi wavifanyavyo CDM
 
Werevu hawawapati hata siku moja. CDM bado mnahitaji miaka mingi ya KUNYONYA kabla ya kupewa nchi. Hii nchi tuna uchungu nayo sana hatuwezi kuwapa kirahisi.

Akina-nani mnauchungu na nchi ipi?? TZ au!? Hahahahaaaa wenye uchungu hawapo huko ulipo!!
 
Kwanza kabisa umepotoka vibaya sana unaposema 'falsafa za Waarabu'. Hizi si za Waarabu, hazikuanzia kwao. Nchi za Ulaya Mashariki kama vile Romania Czechoslovakia, Hungary, Ujerumani ya Mashariki, Poland etc walichukuwa hatua kama hizo kujikomboa na wakashinda.

Halafu kulikuwa nchi kama Philippines (alipong'olewa dikteta Marcos) na Indonesia (alipotimuliwa Dikteta Suharto)wa maandamano tu. Zote hizi hazikuwa nchi za Kiarabu. sitaji Iran alipotimuliwa Sha kwa maandamano, kwani baadhi yenu mtasema Wairani ni Waarabu.

Kwa ujuma hujui chochote unachokisema, unabahatisha bahatisha tu. So sad!!!!! Sijui elimu yako imekaaje vile?
Hebu muuleze na UGIRIKI(GREECE) vilevile ndo waasisi wa hzo siasa na sio hao anaowafikiri
 
Sababu naona chama pekee cha upinzani ambacho kimeshikia bango hili suala ni CDM ndio nilikuwa nataka kujua ni katiba gani itawapatia madaraka kama JK akianguka?
ndugu yangu katiba haiko juu ya wananchi, wananchi wako juu ya katika. hakuna kitu kama katiba inasema hivi au vile ilimradi wananchi waamue. hata misri kuna katiba na uchaguzi wao ulikuwa ufanyike septemba mwaka huu lakini peoples power imesitisha kwa muda katiba hadi hapo baadae. Wnanachi wanauwezo wa kuipigisha maktaimu katiba. sawa sawa.
 
Charity boy hii post si ya Great Thinkers. Inafaa kutolewa kwenye vikao vya chama chako. Kwanza charity boy ina maana gani? ID nyingine bwana!!!
 
Kufanya maandamano katika vitongozi mbalimbali vya mji wa Mwanza na kisha leo kuhamia Musoma ili kupinga kuongezeka kwa gharama za maisha, malipo ya dowans nk ni kufuata philosophy isiyofahamika. Warabu ni watu makini sana, wao wamefanya maandamano kudai matango tu baada ya miaka mingi ya utawala na hali isiyombaya ya uchumi.
Chadema wanachofanya sasa ni kuiga falsafa ambayo haiwezi kufanya kazi bongo. Tanzania ni nchi iliyojiwekea utaratibu wa kukabidhiana madaraka kila miaka 5.
Nawashauri CDM wasubiri 2015 vinginevyo watapoteza MVUTO.

husomi alama za nyakati mkuu! pole sana.
 
.

kikwete+msibani.jpg

Huyo kalala au ni yale mambo yake ya kuzimia? Naona wenzake hata hawashangai, wanaona ni mambo ya kawaida tu. Kimsingi Mkuu akizimia inabidi naibu wake ashike madaraka kwani akiwa amezimia hayuko tena madarakani. Swali la kurudi madarakani kama akizinduka itabidi lijadiliwe baadaye.
 
Werevu hawawapati hata siku moja. CDM bado mnahitaji miaka mingi ya KUNYONYA kabla ya kupewa nchi. Hii nchi tuna uchungu nayo sana hatuwezi kuwapa kirahisi.

Hivi wewe ni uchungu gani wa nchi ulionao?
Umefanya nini ili luonyesha huo uchungu wako?
Umenikumbusha neno moja linalosema "watu hawa huniheshimu kwa midomo yao tu bali mioyo yao iko mbali nami" Mheshimiwa uchungu huonyeshwa kwa vitendo na sio kwa kusema humu jamii forums. Kwa mantiki hiyo CDM wanahaki ya kusema wanauchungu kwa sababu wameonyesha kwa matendo.Kwa ushauri wangu tulia kama mama nyumbani akisubiri mume wake waachie wanaume CDM wafanye kazi yao.
 
Back
Top Bottom