BilaShaka kila mmojawetu anayeitakia mema nchi yetu ambaye hana chembe ya Ubaguzi.Mh Raisi aliposema anaridhia Tanzania si Kurekebisha KATIBA bali Kutengeneza KATIBA MPYA alifurahishwa na kauli hiyo kwasababu Mh Kikwete atakuwa Raisi mojawapo wachache walioridhia kutengenezwa Katiba pasina damu kumwagika huo ndio UKWELI .Mchakato umeanza Kisheria,bahatimbaya wapo waheshimiwa wabunge wa chama cha demokrasia CHADEMA kwamara ya pili mfulilizo wamesusa mjadala huu SWALI langu la msingi liko hapa wanadai nini ? Naomba nieleweshwe tafadhali asieelewa madai ya Waheshimiwa wale asishiriki safari hii sio posho suala linalowahusu chadema pekee (taarifa nilizonazo kwenye posho waligawanyika) huu ni Mstakabali wa TAIFA LETU Taifa ambalo hamna aliebarikiwa kwamba ni Taifa lake/ama ataishi milele ana kizazi/Jamii chake/yake ndio chenye haki ya kuishi kwa neema.Nisaidieni watanzania wenzangu Ahsanteni Sana