CHADEMA mpo?

sir henry

Member
Sep 17, 2011
34
1
BilaShaka kila mmojawetu anayeitakia mema nchi yetu ambaye hana chembe ya Ubaguzi.Mh Raisi aliposema anaridhia Tanzania si Kurekebisha KATIBA bali Kutengeneza KATIBA MPYA alifurahishwa na kauli hiyo kwasababu Mh Kikwete atakuwa Raisi mojawapo wachache walioridhia kutengenezwa Katiba pasina damu kumwagika huo ndio UKWELI .Mchakato umeanza Kisheria,bahatimbaya wapo waheshimiwa wabunge wa chama cha demokrasia CHADEMA kwamara ya pili mfulilizo wamesusa mjadala huu SWALI langu la msingi liko hapa wanadai nini ? Naomba nieleweshwe tafadhali asieelewa madai ya Waheshimiwa wale asishiriki safari hii sio posho suala linalowahusu chadema pekee (taarifa nilizonazo kwenye posho waligawanyika) huu ni Mstakabali wa TAIFA LETU Taifa ambalo hamna aliebarikiwa kwamba ni Taifa lake/ama ataishi milele ana kizazi/Jamii chake/yake ndio chenye haki ya kuishi kwa neema.Nisaidieni watanzania wenzangu Ahsanteni Sana
 
kinachonekana hapo kiko wazi, tatizo ni kwanini muswada umesomwa kwa mara ya pili? wakati ulipoletwa kwa wananchi waliukosoa, na kulazimishwa urudiwe kuandikwa upya. hivyo hawakuwa na budi kuurudisha kwa wananchi ili wayaone mabadiliko na wawe na haki ya kukosoa tena. pia ulitakiwa ujadiliwe na wananchi Tanzania nzima (hii inamaanisha democrasia). sasa kitendo cha kuusoma kwa mara ya pili
1. imefuta uhalali wa wananchi kujadili muswada huo na kuufanyia marekebisho yoyote,
2. umeruhusu bunge lijadili na kuufanyia marekebisho lenyewe, hii inaweza kupelekea usisiem na uchadema hata kwenye kupiga kura hivyo upinzani kushindwa kutokana na idadi yao kuwa chache.

siishii hapo, kitendo cha wawakilishi a CHADEMA na NCCR (baadhi) kutoka nje hakijawatendea haki wananchi. wao wangeendelea kuwepo ila wakatia ngumu kwa kulazimisha mabadiliko (hasa mamlaka makubwa aliyopewa raisi)
najua kingeeleweka. mbona mnyika jana aligangamala kikaelewela kwenye muswada wa manunuzi ya uma?
 
Kwa jinsi unavyouliza unafahamu kila kitu ila unatuchora, vinginevyo wew ni mtoto....

Wanadai apewe bastola kama Rage na wawekewe vitanda bungeni ili wawe wanalala vizuri sio kama gamba Wassira.
 
Kuna watu wa kuwajadili ila si wabunge wa chadema. Hawana lolote, wasikusumbue akili. Nawashauri watoke moja kwa moja wabaki wabunge wapenda AMANI.
 
BilaShaka kila mmojawetu anayeitakia mema nchi yetu ambaye hana chembe ya Ubaguzi.Mh Raisi aliposema anaridhia Tanzania si Kurekebisha KATIBA bali Kutengeneza KATIBA MPYA alifurahishwa na kauli hiyo kwasababu Mh Kikwete atakuwa Raisi mojawapo wachache walioridhia kutengenezwa Katiba pasina damu kumwagika huo ndio UKWELI .Mchakato umeanza Kisheria,bahatimbaya wapo waheshimiwa wabunge wa chama cha demokrasia CHADEMA kwamara ya pili mfulilizo wamesusa mjadala huu SWALI langu la msingi liko hapa wanadai nini ? Naomba nieleweshwe tafadhali asieelewa madai ya Waheshimiwa wale asishiriki safari hii sio posho suala linalowahusu chadema pekee (taarifa nilizonazo kwenye posho waligawanyika) huu ni Mstakabali wa TAIFA LETU Taifa ambalo hamna aliebarikiwa kwamba ni Taifa lake/ama ataishi milele ana kizazi/Jamii chake/yake ndio chenye haki ya kuishi kwa neema.Nisaidieni watanzania wenzangu Ahsanteni Sana

in red, ukweli upi mkuu?
mkuu mda wa mabadiliko ukifika huwezi zuia, haijalishi rais ni nani hata kama ungekuwa ni wewe usingeweza zuia...
hajaridhia hiyo kitu ni shinikizo la umma ambalo haliwezi zuilika, wananchi wamezinduka nyakati hizi wanajitambua...
 
kama uanjua wmaesusia kwanini usijue wanachokidai? acha kutuchora!
 
Hauna tofauti na jamaa yenu wa propaganda sijuhi mmempeleka wapi Tambwe au mmemuuza kwa mkopo..where Tambwe sir?
 
Hauna tofauti na jamaa yenu wa propaganda sijuhi mmempeleka wapi Tambwe au mmemuuza kwa mkopo..where Tambwe sir?
 
BilaShaka kila mmojawetu anayeitakia mema nchi yetu ambaye hana chembe ya Ubaguzi.Mh Raisi aliposema anaridhia Tanzania si Kurekebisha KATIBA bali Kutengeneza KATIBA MPYA alifurahishwa na kauli hiyo kwasababu Mh Kikwete atakuwa Raisi mojawapo wachache walioridhia kutengenezwa Katiba pasina damu kumwagika huo ndio UKWELI .Mchakato umeanza Kisheria,bahatimbaya wapo waheshimiwa wabunge wa chama cha demokrasia CHADEMA kwamara ya pili mfulilizo wamesusa mjadala huu SWALI langu la msingi liko hapa wanadai nini ? Naomba nieleweshwe tafadhali asieelewa madai ya Waheshimiwa wale asishiriki safari hii sio posho suala linalowahusu chadema pekee (taarifa nilizonazo kwenye posho waligawanyika) huu ni Mstakabali wa TAIFA LETU Taifa ambalo hamna aliebarikiwa kwamba ni Taifa lake/ama ataishi milele ana kizazi/Jamii chake/yake ndio chenye haki ya kuishi kwa neema.Nisaidieni watanzania wenzangu Ahsanteni Sana

Wewe kichaa nini?Hujui what is going on bora ukaa kimya unatuuzi ukija huku kwetu TARIME tunakutaka ******. Ndio nyinyi Watz bado mko gizani. Jithidi kusikiliza na kusoma news kama Mwananchi, Nipashe etc usisome UHURU pumbafu
 
Kuna watu wa kuwajadili ila si wabunge wa chadema. Hawana lolote, wasikusumbue akili. Nawashauri watoke moja kwa moja wabaki wabunge wapenda AMANI.

wabunge makini wakiondoka wanaobaki kameruni akiwakuta wanamalizana kikubwa.
 
Kuna watu wa kuwajadili ila si wabunge wa chadema. Hawana lolote, wasikusumbue akili. Nawashauri watoke moja kwa moja wabaki wabunge wapenda AMANI.

Wabunge Wa Chadema wakitoka moja kwa moja Basi wabunge Wa CCM kama wasira,Mrema(TLP) na magamba wengine wakuwa wanalala sana mjengoni hivyo kufanya Bungeni iwe sehemu ya kulala usingizi mzito.
 
mimi sikuomba kutukanwa mimi nataka waheshimiwa hawa wanadai nini hatahivyo vyombo vya habari hakuna waliosema Chadema wanatakaje ? Hii ni nafasi adhimu waliopata watanzania bila umwagikaji DAMU.mbona kuna wachache wanakataa nafasi hii muhimu sana kuna agenda ipi inayoendelea.
 
BilaShaka kila mmojawetu anayeitakia mema nchi yetu ambaye hana chembe ya Ubaguzi.Mh Raisi aliposema anaridhia Tanzania si Kurekebisha KATIBA bali Kutengeneza KATIBA MPYA alifurahishwa na kauli hiyo kwasababu Mh Kikwete atakuwa Raisi mojawapo wachache walioridhia kutengenezwa Katiba pasina damu kumwagika huo ndio UKWELI .Mchakato umeanza Kisheria,bahatimbaya wapo waheshimiwa wabunge wa chama cha demokrasia CHADEMA kwamara ya pili mfulilizo wamesusa mjadala huu SWALI langu la msingi liko hapa wanadai nini ? Naomba nieleweshwe tafadhali asieelewa madai ya Waheshimiwa wale asishiriki safari hii sio posho suala linalowahusu chadema pekee (taarifa nilizonazo kwenye posho waligawanyika) huu ni Mstakabali wa TAIFA LETU Taifa ambalo hamna aliebarikiwa kwamba ni Taifa lake/ama ataishi milele ana kizazi/Jamii chake/yake ndio chenye haki ya kuishi kwa neema.Nisaidieni watanzania wenzangu Ahsanteni Sana


Wewe ueleweshwe nini wakati huna akili hata ya kufuatilia kinachotekea bungeni? Majibu yote yako huko
 
Wewe kichaa nini?Hujui what is going on bora ukaa kimya unatuuzi ukija huku kwetu TARIME tunakutaka ******. Ndio nyinyi Watz bado mko gizani. Jithidi kusikiliza na kusoma news kama Mwananchi, Nipashe etc usisome UHURU pumbafu

tena kumbafu zake kabisa...wa2 wengine kama wamekatwa vichwa
 
BilaShaka kila mmojawetu anayeitakia mema nchi yetu ambaye hana chembe ya Ubaguzi.Mh Raisi aliposema anaridhia Tanzania si Kurekebisha KATIBA bali Kutengeneza KATIBA MPYA alifurahishwa na kauli hiyo kwasababu Mh Kikwete atakuwa Raisi mojawapo wachache walioridhia kutengenezwa Katiba pasina damu kumwagika huo ndio UKWELI .Mchakato umeanza Kisheria,bahatimbaya wapo waheshimiwa wabunge wa chama cha demokrasia CHADEMA kwamara ya pili mfulilizo wamesusa mjadala huu SWALI langu la msingi liko hapa wanadai nini ? Naomba nieleweshwe tafadhali asieelewa madai ya Waheshimiwa wale asishiriki safari hii sio posho suala linalowahusu chadema pekee (taarifa nilizonazo kwenye posho waligawanyika) huu ni Mstakabali wa TAIFA LETU Taifa ambalo hamna aliebarikiwa kwamba ni Taifa lake/ama ataishi milele ana kizazi/Jamii chake/yake ndio chenye haki ya kuishi kwa neema.Nisaidieni watanzania wenzangu Ahsanteni Sana
Makinda alikataa miongozo toka kwa wabunge wa upinzani mana alipangiwa hivo othewise angebanwa na vifungu. Anapoahirisha bunge akagusia kwamba miongozo sasa itafata kanuni ina maana kabla ya hapo haikufata kanuni? Amri hiyo ilikuwa inasubi jana? Kwa Mtanganyika kuongelea znz ni zambi? Tuache utani CCM wana maslahi makubwa znz kwa kutumia udini thus why hata kwa mtutu Muungano will b there. Wao sasa hivi wanadai kutengana ila watu wachache wa ccm hawataki. Wamepeleka maombi un, hawamkubali Kambarage wanadai kapotosha histori, wanataka kushiriki kombe la dunia nk. Tusizuie muswada kujadili muungano.
 
Kuna watu wa kuwajadili ila si wabunge wa chadema. Hawana lolote, wasikusumbue akili. Nawashauri watoke moja kwa moja wabaki wabunge wapenda AMANI.

Naamini hata wewe ni mpenda AMANI ndio maana kwako EPA , DOWANS,MEREMETA KWAKO NI AMANI
 
Ts all about logic and being LOGICAL mkuu, km mswada wa marekebisho ulipoletwa mjengoni ULIKATALIWA, kwanini unapoletwa huu wa jana wanasema UNASOMWA mara ya pili!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom