Chawa wa lumumbashi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 793
- 1,749
Kuna mwanafalsa mmoja wa kiingereza aliwahi kusema "To be or not to be that is question" hivi ndivyo ambavyo wanachadema tunaposhindwa au ndivyo tunavyoweweseka kuimba Ile nyimbo yetu Pendwa ya katiba mpya kwa sababu tunaona aibu kuendelea kuimba kuhusu katiba mpya baada ya kulewa kashata na kahawa ikulu.
Mna unafiki mwingi sana na soon huu unafiki wenu unaenda kuwapiga chini tena 2025 na mnazidi kumpa mwanya wa kuongoza nchi kwa mara ya pili Rais Samia. Mtake msitake Samia Suluhu anachukua nchi kwa mara ya pili.
Mna watu wa hovyo sana kiukweli baada ya kuondoka sijaona mtu ambaye ataweza kuingoza CHADEMA, kuondoka kwa Mbowe ndiyo mwisho wa CHADEMA! Mlisema uchaguzi wa mwaka 2020 ni batili ila bado mliendelea kumtambua Magufuli ni Rais na mnaendelea kumtambua Samia ni Rais!
Kahawa na kashata zimewalewesha mpaka sasa wimbo wenu mmeacha kuimba shem on you!
Mna unafiki mwingi sana na soon huu unafiki wenu unaenda kuwapiga chini tena 2025 na mnazidi kumpa mwanya wa kuongoza nchi kwa mara ya pili Rais Samia. Mtake msitake Samia Suluhu anachukua nchi kwa mara ya pili.
Mna watu wa hovyo sana kiukweli baada ya kuondoka sijaona mtu ambaye ataweza kuingoza CHADEMA, kuondoka kwa Mbowe ndiyo mwisho wa CHADEMA! Mlisema uchaguzi wa mwaka 2020 ni batili ila bado mliendelea kumtambua Magufuli ni Rais na mnaendelea kumtambua Samia ni Rais!
Kahawa na kashata zimewalewesha mpaka sasa wimbo wenu mmeacha kuimba shem on you!