Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,917
- 1,660
hata mimi nimeshangaa kinoma
Aisee hawa watu wanafikra zinazofanana kiasi hiki, neno kwa neno!!:lol:oa
Aisee hawa watu wanafikra zinazofanana kiasi hiki, neno kwa neno!!:lol:oa
Aisee hawa watu wanafikra zinazofanana kiasi hiki, neno kwa neno!!:lol:oa
Kila la kheri mkuu.Ushindi ni lazima.Kumbuka Arusha ni ngome kuu ya CDM
Sawa sawa kamanda. Sasa tunaelekea Arumeru Mashariki. Utartibu ndiyo huo, wenye sifa zinazofaa kutumika kwa maendeleo ya watu, kupitia chama mbadala, chama makini, CHADEMA, wajipime kisha waingine ulingoni.
Sawa sawa kamanda. Sasa tunaelekea Arumeru Mashariki. Utartibu ndiyo huo, wenye sifa zinazofaa kutumika kwa maendeleo ya watu, kupitia chama mbadala, chama makini, CHADEMA, wajipime kisha waingine ulingoni.
Aisee hawa watu wanafikra zinazofanana kiasi hiki, neno kwa neno!!:lol:oa
Hii ni ID moja nini?
Mwita katika hili kuna walakini kidogo. All in all nategemea kupiga kambi Arusha ili nione nini kitajiri katika mchakato huu wa jimbo hilo nadhani kutakuwa na kitu cha kuandika.
Kama Chadema watajipanga vizuri zaidi kuanzia uongozi wa jimbo, mkoa hadi taifa, basi hakuna wasiwasi wa kulinyakua jimbo hilo.
This time around around, sidhani kama kutakuwa na excuses!!
Tume ya uchaguzi ilishasema Hakuna kuboresha daftari, watakaoruhusiwa kupiga kura ni walewale walojiandikisha uchaguzi ulopita wa 2010 kaka. Dongo hilo kaka vigumu Chadema kushinda hapo.sawa ila umakini unatakiwa sana kwenye uteuzi wa wagombea msije kupata mamluki
Aisee hawa watu wanafikra zinazofanana kiasi hiki, neno kwa neno!!:lol:oa