Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Kwa wanaopenda Masumbwi, bila ya shaka mtamkumbuka bingwa wa zamani wa uzito wa Juu Mohamed Ali ambaye umahiri wake umeacha historia.
Bondia huyu anapokua ulingoni, huwa raundi za mwanzo harushi makonde mengi, badala yake hujitahidi sana kukwepa maakonde ya mpinzani wake mpaka hapo anapoona ameshaanza kuchoka ndipo hufungulia mvua ya makonde kwa kasi ya ajabu na hivyo kuwashinda wapinzani wake wengi kwa knock Out!
Kuchelewa kuanza kampeni kwa CHADEMA kunaweza kuwa na faida kwao kwani wanapata muda wa kuwasoma ni nini hasa wapinzani wao wanafanya na wapi wanakosea. Nimeona pia katika vijiwe vya walalahoi wa kawaida hapa DSM kwamba habari za Slaa zenye uzito zinasomwa sana ingawa bado hawajaanza kampeni. Ni kama vile watu wana hamu ya kusikia CHADEMA ni nini kinaendelea lakini unfortunately bado hakuna habari nyingi hasa kutoka kwa Slaa ambaye amekuwa kama nyota njema.
Je, hii ni dalili njema kwa CHADEMA kuwa mbinu wanayotumia ya kuchelewa kuanza Kampeni itawafanya watu wawe excited mara tu Kampeni Zitakapoanza?
Je hii ina maana yoyote katika suala zima la kupata ushindi?
NB: Mwandishi wa thread hii si mwanachama wa chama chochote. Na hana itikadi ya kutofungamana na Chama Chochote ingawa kura yake ni siri yake.
Bondia huyu anapokua ulingoni, huwa raundi za mwanzo harushi makonde mengi, badala yake hujitahidi sana kukwepa maakonde ya mpinzani wake mpaka hapo anapoona ameshaanza kuchoka ndipo hufungulia mvua ya makonde kwa kasi ya ajabu na hivyo kuwashinda wapinzani wake wengi kwa knock Out!
Kuchelewa kuanza kampeni kwa CHADEMA kunaweza kuwa na faida kwao kwani wanapata muda wa kuwasoma ni nini hasa wapinzani wao wanafanya na wapi wanakosea. Nimeona pia katika vijiwe vya walalahoi wa kawaida hapa DSM kwamba habari za Slaa zenye uzito zinasomwa sana ingawa bado hawajaanza kampeni. Ni kama vile watu wana hamu ya kusikia CHADEMA ni nini kinaendelea lakini unfortunately bado hakuna habari nyingi hasa kutoka kwa Slaa ambaye amekuwa kama nyota njema.
Je, hii ni dalili njema kwa CHADEMA kuwa mbinu wanayotumia ya kuchelewa kuanza Kampeni itawafanya watu wawe excited mara tu Kampeni Zitakapoanza?
Je hii ina maana yoyote katika suala zima la kupata ushindi?
NB: Mwandishi wa thread hii si mwanachama wa chama chochote. Na hana itikadi ya kutofungamana na Chama Chochote ingawa kura yake ni siri yake.