Richard mtao
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 217
- 242
Habari wana JF.
Naomba wajuzi wa mambo tujadiliane kidogo kwa lengo la kuwekana sawa na kupeana mwanga katika haya maswala.
Naomba kujua, kitendo cha makamu mwenyekiti wa chama cha demokrasi na maendeleo kuzuia msafara wa Naibu waziri Mkuu ni sawa?
Nahis niwazi chadema imeonesha kudharau mamlaka hadharani na kuonesha ni kwa namna gani wamegeuza siasa kuwa kama vita na swalaa la ushindani wa hoja.
Naomba wajuzi wa mambo tujadiliane kidogo kwa lengo la kuwekana sawa na kupeana mwanga katika haya maswala.
Naomba kujua, kitendo cha makamu mwenyekiti wa chama cha demokrasi na maendeleo kuzuia msafara wa Naibu waziri Mkuu ni sawa?
Nahis niwazi chadema imeonesha kudharau mamlaka hadharani na kuonesha ni kwa namna gani wamegeuza siasa kuwa kama vita na swalaa la ushindani wa hoja.