Leo mchana kutakuwa na mkutano wa hadhara arusha maeneo ya St. Thomas karibu na Ottu. Utahutubiwa na Lema(mb), Nassari, na madiwani wote wa chadema arusha.
Mkutano huu umeandaliwa na madiwani kuelezea wananchi utekelezaji wa ilani ya chadema kwenye kata zao, progress na kuendelea kuhoji uhalali wa meya feki wa arusha.
Mkutano huu umeandaliwa na madiwani kuelezea wananchi utekelezaji wa ilani ya chadema kwenye kata zao, progress na kuendelea kuhoji uhalali wa meya feki wa arusha.