mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA)kitafanya mkutano wa Hadhara katika Shule ya Msingi Mkendo,katika mkutano huo wa Hadhara utakaohutubiwa na Meya wa Mji wa Musoma(Alex Malima)pia atakuwepo Mbunge wa Jimbo hilo(Vincent Nyerere)na Mbunge wa viti Maalum(Ester Matiko) mbali na salam za Mwaka mpya na Ufafanuzi wa katiba pia wataelezea Mafanikio ya Maendeleo ya Jimbo Hilo tangu waingie Madarakani