CHADEMA, kuugua na kufariki kwa Prof. Baregu bila kuutaarifu umma kunatia doa uumini wenu wa uwazi

CHADEMA walishabikia kwa nguvu sana kutaka uwazi uwepo wa alipokuwa JPM, wakidai umma uelewazwe yuko wapi, kama anaumwa anaumwa nini. Sisi tukajua hiyo ndiyo imani yao.

Ila inapokuja upande wao; mfano wa hivi karibuni kuugua, kulazwa na kufariki kwa mjumbe wao wa kamati kuu Prof. Baregu hawafanyi kama wanavyowataka wengine wafanye.

Unafiki huu lengo lake nini? Au ndiyo viashiria vya chama kuishiwa hoja?


View attachment 1818132
Niliona 'press release' ya Chadema iliyotolewa na Katibu Mkuu ikisema 'wanasikitika kutangaza kifo cha Profesa Baregu'. Labda kama kusema hivyo 'siyo kuutarifu umma' hapo naweza kukubaliana nawe.
 
Mkuu usihamishe goli- nijibu tu watu waelewe kupitia jibu lako kwangu
Ok ni hivi, Prof. Baregu mpaka anafariki hakuwa kiongozi wa chama wala serikali ivyo kuugua kwake ni suala la kifamilia na sio la umma. Na pia mlitakiwa mumpende akiwa hai sio unafiki unaoonekana sasa,tuache marehemu apumzike na tusimtumie kama hoja ya kisiasa,huu pia ni ujinga na kukosa utu.
 
Kwani unaijua katiba ya CHADEMA inasemaje kuhusu aina ya kiongozi ambae umma unapaswa kutaarifiwa,tuanzie hapa.
Mara kadhaa wabunge wa CCM wamefariki na hatukuwa tumetaarifiwa kuugua kwao, marehemu Mzindakaye kafariki juzi tu hapa,umma ulitangazia kuugua kwake au kifo chake?Hapa hakuna hoja ya maana ni vihoja na hasa kutokuwa na uelewa wa katiba za vyama vingine ni tatizo
Labda uniambie alikuwa hana wadhifa wowote mpaka anapata umauti kama alivyotaja Mnyanyembe wa Mboka, Nitakuwa upande wako.
 
Yaani mawazo ya wana Chadema sijui mnayatoaga wapi! Taarifa ya Chadema inasema "Aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema" halafu wewe unasema eti alikuwa na cheo gani hadi atangazwe? Kwahiyo, Chadema hicho sio cheo? Basi sawa. By the way, kwa Chadema asiye na cheo hapaswi kutangazwa anaumwa ila akifa ndio anatangazwa? Basi sawa!

Huko kwenye kamati kuu Baregu pekee ndio amewahi kuumwa? Mbona wengine pia wameumwa na hatukupewa taarifa? Sasa hivi taarifa zake zinatolewa kwakuwa amefariki, lakini hakukuwa na ulazima wowote wa kutoa taarifa zake za kuumwa as if ni mtendaji ambaye kuumwa kwake kuna athari za moja kwa moja na shughuli za chama. Huyo mbwiga mwenzako ameichukulia taarifa ya kuumwa ya Baregu ni sawa na ya rais. Ama huelewi upotoshaji wake uko wapi?
 
Ok ni hivi, Prof. Baregu mpaka anafariki hakuwa kiongozi wa chama wala serikali ivyo kuugua kwake ni suala la kifamilia na sio la umma. Na pia mlitakiwa mumpende akiwa hai sio unafiki unaoonekana sasa,tuache marehemu apumzike na tusimtumie kama hoja ya kisiasa,huu pia ni ujinga na kukosa utu.
Mkuu naona mishipa yako ya aibu na kumbukumbu imeshakatika na matokeo yake- umekuwa a SHAMELESS LIAR
 
Mbona Kassim alitudanganya kuwa John anachapa kazi na kazungukwa na mafaili, kumbe alikuwa mgonjwa tuu, je mliutaarifu umma?
alidanganya kwenye taarifa yake. Nyie kwenye ukimya wenu- Baregu yuko wapi?
 
Ok ni hivi, Prof. Baregu mpaka anafariki hakuwa kiongozi wa chama wala serikali ivyo kuugua kwake ni suala la kifamilia na sio la umma. Na pia mlitakiwa mumpende akiwa hai sio unafiki unaoonekana sasa,tuache marehemu apumzike na tusimtumie kama hoja ya kisiasa,huu pia ni ujinga na kukosa utu.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo Mkurugenzi wa Itikadi na Uhusiano wa kimataifa wa Chadema, John Mrema amesema chama kitatoa taarifa rasmi taarifa baada ya kikao na wanafamilia.
1623664553063.png
 
Ok ni hivi, Prof. Baregu mpaka anafariki hakuwa kiongozi wa chama wala serikali ivyo kuugua kwake ni suala la kifamilia na sio la umma. Na pia mlitakiwa mumpende akiwa hai sio unafiki unaoonekana sasa,tuache marehemu apumzike na tusimtumie kama hoja ya kisiasa,huu pia ni ujinga na kukosa utu.
1623664678599.png
 
Wangekutaarifu ungepeleka dawa au Kuc hangia matibabu mawazo ya NZI WA KIJANI NI SHIDAA
 
Huko kwenye kamati kuu Baregu pekee ndio amewahi kuumwa? Mbona wengine pia wameumwa na hatukupewa taarifa? Sasa hivi taarifa zake zinatolewa kwakuwa amefariki, lakini hakukuwa na ulazima wowote wa kutoa taarifa zake za kuumwa as if ni mtendaji ambaye kuumwa kwake kuna athari za moja kwa moja na shughuli za chama. Huyo mbwiga mwenzako ameichukulia taarifa ya kuumwa ya Baregu ni sawa na ya rais. Ama huelewi upotoshaji wake uko wapi?
Hata sijui unaandika nini, unatetea nini.
 
CHADEMA walishabikia kwa nguvu sana kutaka uwazi uwepo wa alipokuwa JPM, wakidai umma uelewazwe yuko wapi, kama anaumwa anaumwa nini. Sisi tukajua hiyo ndiyo imani yao.

Ila inapokuja upande wao; mfano wa hivi karibuni kuugua, kulazwa na kufariki kwa mjumbe wao wa kamati kuu Prof. Baregu hawafanyi kama wanavyowataka wengine wafanye.

Unafiki huu lengo lake nini? Au ndiyo viashiria vya chama kuishiwa hoja?


View attachment 1818132
Kwa Magufuri,Pole pole na Bashiru huo waraka tusingeuona maana wale ni wauaji.
 
Back
Top Bottom