comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,271
- 5,989
- Thread starter
- #21
Ni sawa kabisa- UNATAKA KUTWAMBIA JPM HAKUWA NA FAMILA? HAKUITAJI FARAGA?Mimi na wewe nani anademka. Unaujua undani wa familia ya PROF. Balegu(RIP) au kimbelembele kama STEVE NYERERE sio????
Unajuaje kama wanafamilia wametaka ufaragha wa taarifa ya mpendwa wao.
Piga kimya wewe.