Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Last edited by a moderator:
Ile kauli ya kukurupuka itamgharimu sana prezzo. Wataiacha Chadema, wangali wanaitaka, yeye na masalia wake.kuweni makini na huyu mshirikina tena anajibadili humu JF mii naogopa asije nimaliza na panya wangu humu ndani. Na leo angekuwa kwenye maamuzi ya kesi ya Lema watu wangekimbia hakuna mfano. People are very worried about him
Hivi kinana yupo?sija msikia au yupo hunting serengeti
hadi sasa mziki wa CDM umeshinda, halafu kama coincidence Lema karudi, huuu ujinga umefunikwa kabisa na CCM hawana cha kujivunia zaidi ya aibu.CCM hawakupaswa wekeza ktk huu ujing, walipaswa kuwa champion wa kukuza democrasia.Sasa sioni kwa nini wawekezektk hizi njia chafu na za aibu.Kila siku wanashikw awkaiwanga ktk duka la wenzao wakati wao wanauza vitu vilivyo expire?Nguli huyu ambaye alithibitisha yeye ni muarubaini wa CHADEMA kwa kiasi kikubwa limejidhihirisha migogoro inayoonekana sasa ndani ya CHADEMA yenye kuhusisha viongozi ambao ni mihimili ndani ya chama inaonesha muelekeo wa kifo cha chama hiki.Sasa siri nyingi zinaandikwa waziwazi,tunaelezwa na baadhi ya viongozi hao mitandaoni wazi wazi kwamba Dr. Slaa alikua na mpango wa kukatisha uhai wa ZZK kwa sumu.
Tunaelezwa jinsi vugu vugu la BAVICHA kuwa na mbinu za kuwasambaratisha Slaa na Mbowe.Malengo ya chama sasa yana hama kutoka movement for change yamekua move 2 die.
Hapa lazma pia CHADEMA watakubali mikakati ya safu mpya ya CCM chini ya Mzee Kinana kwamba ni sumu kwao kwani muda mfupi tu baada ya uongozi huu kuingia kazini CHADEMA migogoro haishi.
CHADEMA mmeshaelekea kibla KInana andaa kisu tayari kwa kusilimisha!
hadi sasa mziki wa CDM umeshinda, halafu kama coincidence Lema karudi, huuu ujinga umefunikwa kabisa na CCM hawana cha kujivunia zaidi ya aibu.CCM hawakupaswa wekeza ktk huu ujing, walipaswa kuwa champion wa kukuza democrasia.Sasa sioni kwa nini wawekezektk hizi njia chafu na za aibu.Kila siku wanashikw awkaiwanga ktk duka la wenzao wakati wao wanauza vitu vilivyo expire?
Migogoro ni sehemu ya kukua....baada ya taabu furaha!
Huu uzi sidhani kama utakuwa na maisha humu JF.
Lazma uukandie kwakua umegusa pabaya!
Hah ha haa...! gimmy's ungejua Kinana anavyosononeka na kuteseka! Anatamani ahame hata nchi. Je unajua kwa nini alitangaza kung'atuka pale mwanzo? Uliza uambiwe ama mtafute Mkama akusimulie. Masikini Kinana ndio sasa anatambua kaingizwa choo cha kike, heri asingekubali...tatizo ni kuwa mlafi hashibi na fisadi hatosheki! Wiping dirty asses all day aint fun!Kinana yupo kazini na anafanya kazi kwa umakini mkubwa tena sio kukurupuka na matunda sasa yameanza kuonekana na lazma CDM muda si mwingi itabaki historia.Kwa umakini wa kinana huwezi kumsikia kwani hii ni pati ya kimyakimya. Si lamza mkubali ila nawataka msubiri matokeo kwani kila kitu kipo tayari kilichobaki ni utekelezaji ambao umekwisha anza
Kurudi kwa lema hakuwezi kuzuia umauti wa CDM kwani kesi yake haikumzuia Lema kutekeleza wajibu wake kichama.
vitabu vinatueleza mtu kama wasira ni sawasawa na mtu anayekula nyama ya mtu.