- Thread starter
- #141
Mkuu wewe ni mtoto wa kiume punguza mipasho wapi nimemuita Mzee Mtei muhuni? Halafu hii ni forum huru hatukuja humu kutishana bahati nzuri mie nasimamia ninacho kiamini na ninaheshimu members wenzangu naona wewe mwenzetu Chadema imekupa upofu hutaki mtu yoyote wa Chadema tumjibu...wazee wengi humu JF mbona wanajibiwa, majibu yangu kwenye post yangu FJM kanielewa vizuri, mkuu JF sio mali ya Chadema usitishe watu eti koma!
Mkuu acha kutoka mapovu Cool down.Isome vizuri comment yako umesema Mtei kaongea kihuni.Hata hivyo samahani nawithdraw statement yangu kwako! Nilichukizwa sana na maneno ya Wassira.
Last edited by a moderator: