Pawaga
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 1,330
- 966
kwahiyo ndo defence mechanism uliyochagua au?sasa subiri uone negative comments toka kwa wana cdm,nafikiri hawajui maana ya siasa na opposition party wao ni kupinga tuuu hata yale mema! Hata nyerere aliongea" mnaacha yale mazuri na kuongelea ya kijinga" karibuni wan cdm tusikie pumba zenu na kutoa negative comments kuhusu hii topic