TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
wataandamana ama watafanya mikutano?
Wange lifuta tu hili lichama
Linaongozwa bila Akili
Nchi inaongozwa wa utawala wa Sheria, Kila kiongozi hapa nchini hawezi kuongoza anavyofikiri yeye. CDM haijaletwa na Mbowe - IPO KISHERIA.Wange lifuta tu hili lichama
Linaongozwa bila Akili
Hivi kwa mfano, Serikali ikaamua kuwaacha chadema wakaandamana na kufanya mikutano ya siasa nini kitatokea? Dunia itaisha au uchumi utayumba? mm nadhan Serikali ingewaacha then ikajibu hiko ambacho wao wataongea, ila kwa wote kujifanya wababe na watemi mwisho wa siku wanainchi ndio wanaumia
Moshi na Arusha ccm ni chama cha upinzani, sasa waandamane kwa lipi? Au unaota?
Kwani kila amri ya Rais ni halali? Hata kama ina kiuka sheria na katiba?
Hivi Rais akiagiza atakaye kila atakaye pitisha contena bandarini achinjwe tutasema ni amri halali?
Nchi ya kidemokrasia na inayofuata utawala wa sheria hata Rais akikiuka amapingwa hadharani
Ccm ni chama cha upinzani Arusha na Moshi, ni chama tawala gani unakosa hata mbunge mmoja? Unatawala vipi kwa mfano?BAVICHA amka kutoka usingizini. CCM ni chama tawala Tanzania hii.
Jibu swali la msingi sio kuleta nadharia za kufikirika. Jee ni kila kila tamko la Rais ni la kisheria?BAVICHA jaribu tu kupinga amri ya Rais uje ututhibitishie kama ni halali au siyo. Usijifiche nyuma ya keyboard na kuchakaza screen kwa maneno matupu.
CHADEMA inaongozwa na watu wasio na akili sana!Usiwe bendera fuata upepo. Anayeweza kusema hili ni halali au haramu katika mabishano ya wawili au zaidi ni MAHAKAMA.
Muulize aliyefunguaIle kesi yetu tuliyofungua mwanza na kuihamishia dar imefikia wapi
Jibu swali la msingi sio kuleta nadharia za kufikirika. Jee ni kila kila tamko la Rais ni la kisheria?
Hivi unadhani kwa dunia ya Leo mkutano unao tambulika kisheria ukifanyika na Polisi kwa amri ya mkuu wakauvamia na kuua watu hata 20 tuu nini kitatokea?
Muulize AlBashiri wa Sudan anaishi kama digidigi kwa nini?
Kumbe hujui kuwa chama chako kimeenda mahakamani halafu unashauri tena mahakama iseme kuwa ni halali au laMuulize aliyefungua
Unasahau kuwa CDM kuwepo kisheria ni pamoja na kuheshimu sheria zenyewe.Nchi inaongozwa wa utawala wa Sheria, Kila kiongozi hapa nchini hawezi kuongoza anavyofikiri yeye. CDM haijaletwa na Mbowe - IPO KISHERIA.
Al-Bashiri anaishi vipi kama digidigi? BAVICHA unachanganyikiwa kabisa. Hivi kwa akili yako ya kushikiliwa na Mbowe, mtaruhusiwa mvunje sheria na vyombo vya usalama vinawatazameni tu? Mbona huo mkutano wa CCM Dodoma umefanyika na wenzenu sasa hivi wana kesi hapo Mahakama ya Wilaya ya Dodoma kwa kutaka kuleta fujo? Hata kwenda kuwajulia hali tu mmefyata mikia.
Sasa nyie andamaneni hiyo Sept. 1 muone kama amri ya Rais ni halali au siyo halali.
Kumbe hujui kuwa chama chako kimeenda mahakamani halafu unashauri tena mahakama iseme kuwa ni halali au la
Mkuu kifute wewe kama auwezi basi hata hao vibaraka wenu hawawezi.Wangelifuta tu hili lichama
Linaongozwa bila faida
Ipo kisheria !!?Nchi inaongozwa wa utawala wa Sheria, Kila kiongozi hapa nchini hawezi kuongoza anavyofikiri yeye. CDM haijaletwa na Mbowe - IPO KISHERIA.