CHADEMA kina wanachama wangapi?

Bado watu wanazungumzia wanachama million 8, my foot. kwenye jukwaa hili tumewahi kuhoji chanzo cha takwimu hizi
lakini watu wakaingia mitini na sasa wanarejea na takwimu za uanachama za kupikwa. Bila
shaka watu wana matatizo ya uelewa

Cdm siyo genge la kihuni kama ccm,cdm ni taasisi iliyojipanga kimkakati huwezi kuifananisha na genge la majangili ccm
 
Mimi nadhani MM ana hoja pia. Maana ni vyema chama cha siasa kuwa na records za wanachama wake. Zamani enzi za chama kimoja ilikuwa si rahisi kupata kadi ya chama hadi umepata mafunzo. Kipindi hicho CCM ilikuwa ni chama chenye itikadi inayoeleweka na wanachama waliipignania kwa kuipenda tofauti na sasa ambapo ni maslahi ndiyo yanawafanya watu kuwa wanachama. CDM pia katika hatua za awali itafute takwimu za wanachama wake maana itasaidia hata kufanya makadirio ya mapato yatokanayo na ada ya wanachama.
 
Unapoelekea uchaguzini idadi ya wanachama siyo issue ila idadi ya mashabiki na wapigakura ndiyo habari ya mjini
 
chadema hawapendi ushauri,wanajifanya wanaijua siasa..kuna sehemu hadi leo hawajafika wanakimbilia ulaya na usa..ili walipane per diem nene.

Kusini uko kuna maeneo walisikia tu cdm walipita kisingizio msiba wa makani au bajeti haitoshi, ila bajeti ya kufanya mikutano arusha haikosekani.

Matokeo ya udiwani ni ujumbe mzuri kwa ukaidi wao.

hebu tutokee hapa na ww..
 
Hadi mwaka 2010 Chama cha Mapinduzi kilikuwa na wanachama takribani milioni tano kwa mujibu wa alkiyejuwa katibu mkuu wakati ule Bw Yusuph Makamba. Idadi hii ni ongezeko kutoka wanachama milioni tatu hivi waliokuwepo mwaka 2000. Ili kuweza kuelewa mwelekeo wa chama kikuu cha upinzani nchini na hasa kukubalika kwa ajenda yake ni vizuri kujiuliza CDM sasa hivi sasa wanachama wangapi wente kuveba kadi? Na wanachama hawa wametawanyika vipi katika nchi yetu?

Idadi ya wanachama wa chama cha siasa (siyo mashabiki) inaweza kujulikana to almost exact figures.

a. Mwanachama anapojiunga analipia kadi kwenye tawi lake
b. Kila tawi lina orodha ya wanacham wake
c. Mwanachama akihama tawi kuna utaratibu kuwa kule anakoenda atajiunga na tawi jipya na rekodi zitaonesha hivyo
d. Kila tawi linatuma idadi ya wanachama wake makao makuu
e. Kuna utaratibu wa kuupdate idadi ya wanachama (wanaoingia na kutoka)
f. Kwa kuangalia idadi hizo unaweza kuona movement ya wanachama na kupata demographia ya wanachama wako (vijana, wazee, kina mama, mijini, vijijini n.k).
g. Kulipa ada za kila mwezi za chama. Mfumo mbaya ni kulipa kwa mwaka! Ni vizuri kuweka quarterly fees ili kila baada ya miezi mitatu walio wanachama (loyal party members) wanaenda kulipa ada zao. Hii inakupa mwanga.
h. censored.

Sasa kujua hili la wanachama ni kuijua base yako. Huwezi kujenga chama kwa kutegemea independents au undecided voters. Ni kwa kutegemea your core supporters ndio chama kinaweza kusimama.

Mzee Mwanakijiji

Kuwa na Wanachama wengi sio suluhisho na nadharia ya kushinda KURA...

Kuna vipengele vingi na sio idadi ya wanachama kinapelekea Vyama Kushinda...

Mfano; USA DEMOCRATIC PARTY kina Wanachama weng haswa; Kinachoshangaza ni kuwa RURAL WHITES ambao ni poor as much as some blacks they Vote republican even though FOOD STAMPS & LOW INCOME CREDIT CARD zilianzishwa wakati wa Serikali ya DEMOCRATIC PARTY...

Lakini Miaka ya 1950s Repblican ndicho kilichokuwa chama cha wapenda haki na SLAVERY ABOLISHED -- Ni DEMOCRATIC PARTY inayopata votes zote hata kama hawataisaidia ETHNIC yao... wamebacki kuwa LOYAL

HENCE; Factors such as LOYALTY; CHARACTERS; REGIONAL AFFILIACTIONS etc ndio factor kubwa za chama kushinda na sio IDADI ya WANACHAMA hao ndani ya hicho chama...
 
Hadi mwaka 2010 Chama cha Mapinduzi kilikuwa na wanachama takribani milioni tano kwa mujibu wa alkiyejuwa katibu mkuu wakati ule Bw Yusuph Makamba. Idadi hii ni ongezeko kutoka wanachama milioni tatu hivi waliokuwepo mwaka 2000. Ili kuweza kuelewa mwelekeo wa chama kikuu cha upinzani nchini na hasa kukubalika kwa ajenda yake ni vizuri kujiuliza CDM sasa hivi sasa wanachama wangapi wente kuveba kadi? Na wanachama hawa wametawanyika vipi katika nchi yetu?

Idadi ya wanachama wa chama cha siasa (siyo mashabiki) inaweza kujulikana to almost exact figures.

a. Mwanachama anapojiunga analipia kadi kwenye tawi lake
b. Kila tawi lina orodha ya wanacham wake
c. Mwanachama akihama tawi kuna utaratibu kuwa kule anakoenda atajiunga na tawi jipya na rekodi zitaonesha hivyo
d. Kila tawi linatuma idadi ya wanachama wake makao makuu
e. Kuna utaratibu wa kuupdate idadi ya wanachama (wanaoingia na kutoka)
f. Kwa kuangalia idadi hizo unaweza kuona movement ya wanachama na kupata demographia ya wanachama wako (vijana, wazee, kina mama, mijini, vijijini n.k).
g. Kulipa ada za kila mwezi za chama. Mfumo mbaya ni kulipa kwa mwaka! Ni vizuri kuweka quarterly fees ili kila baada ya miezi mitatu walio wanachama (loyal party members) wanaenda kulipa ada zao. Hii inakupa mwanga.
h. censored.

Sasa kujua hili la wanachama ni kuijua base yako. Huwezi kujenga chama kwa kutegemea independents au undecided voters. Ni kwa kutegemea your core supporters ndio chama kinaweza kusimama.
 
Back
Top Bottom